2genius
Member
- Mar 22, 2012
- 27
- 15
Hii mbona haijibiwi, nataka kujua piaNitafutie terios daihatsu
Hii mbona haijibiwi, nataka kujua piaNitafutie terios daihatsu
Tangazo lako limekaa kihuni sana. Hemu acha mambo ya kishamba ya kuchafua uzi wa maana. Nenda kafungue thread yako na ujaze hizi pumba zako.[30/10 1:21 pm] mushi: Mzigo wa gar umeongezeka
Rav 4 old model kipis 5 milipm
Cresta gx 100 3
Mitahubish pajero gdi 7 tu
Posho tunagawana leta mteja ongeza cha juu hakuna matata
[30/10 2:52 pm] mushi: _ofa nyingine ya magari_
Tiper 93 mpya kabisa ndo imetua 75
113 hozi peke yake 17_
113 complete hoz na bod 45
Canter tiper tan 3 kipya 27
Toyota coaster 1hz 16
*Zote ni kali sana*
*₩pesa zipo kote hamna shaka wewe na mteja na hawaruki*
Imeongezeka carina ti 7.8 laki 3 posho
Njoo inbox omba picha tutafute ugali
_0652472486_ piga smu tafadhali
Tangazo lako limekaa kihuni sana. Hemu acha mambo ya kishamba ya kuchafua uzi wa maana. Nenda kafungue thread yako na ujaze hizi pumba zako.
Ambazo ziko nchini TzHabari,
Naomba ufafanue zaidi.
Ni kwamba unahitaji ambazo ziko hapa nchini tayari au.??
Habari yako.?!
Hiace ziko aina mbili kuna high roof (dungu) na za kawaida
Sasa naomba uwe more specifically aina ya hiace unayotaka pamoja na mwaka wake.
Ahsante
Habari yako,Naomba mwenye kisuzuki carry kizima anisaidia kwa 3m. 0692138944
Habari za asubuhi wanajf,
Natumaini mko vyema.,
Napenda kuwapa taarifa ;
Kuanzia leo au kesho mapema,
Gari nitakazo kua napost nitampa ruhusa kila mmoja aseme bei yake.
Atakae kua na dau kubwa kushinda mwingine basi ndio atakua ananafasi ya kulimiliki gari hilo.
Madau yote yanatakiwa kua kwa usd ($) na sio kwa Tshs.
Ahsante.
MAGARI7
NOTE :
MASHARTI NA VIGEZO VYOTE VITAZINGATIWA.