payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Kama umewahi kufunaniwa unamega amri ya sita na mke/mume wa mtu si mbaya ukitoa experience yako, huwa inakuwaje?
- Je, ulitamani ardhi ipasuke?
- Je, ulimtishia mgoni wako ku-fight back?
- Je, ulikimbia ukiwa mtupu?
- Je, ulisahau Kufuli wakati wa vurumai?
- Je, Ulipodakwa uliwaeleza nini ndugu zako wa jirani, mkeo na watoto?
- Je, Walikudaka wakati ndo unakaribia Kufika Kilele Cha Kilimanjaro?