The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
Acheni usumbufu wakuulizia habari za admission kila mwaka wanaupdate new information kuhusu vyuo kama mmeweza kuingia huku kwa nini mshindwe panapowahusu
Ivi hyo nayo ni thread kwel?
Wacha madogo waulize bwana wengine hajui hata pa kuanzia, wewe kama huna cha kuchangia kaa kimya, hapa ni sehemu ya kutoana ujinga na kupashana habari.
KUNA HAKI YAKUULIZA COZ KUNA INFORMATION ZIKO TOO GENERAL MFANO COURSE FLANI INA HITAJI ANY TWO PRINCIPAL PASS IN PHYSICS, CHEMISTRY & MATHEMATICS SASA JE PCB AU PGM ANAWEZA KUCHUKUA HIZO COURSES?? NDO MAANA WATU WANAULIZA KWA WENYE EXPERIENCE ILI KUWA NA UHAKIKA, MSIKATISHE TAMAA VIJANA, MAWAZO YENU YAWEZA KUA NA IMPACT KUBWA KULIKO HATA TCU GUIDE BooK