xafi xana vp kuhusiana na bei ya msosi iko juu au low? Kwa iyo ukija na kama laki3 itatosha ryt?
basi kupata marks za ivo si ajabu pale na hapo unakuwa upo juu, zinarecordiwa na mbaya zaidi karatasi za maswali wanachukuwa hakuna cha kufana correction wala nini, inabidi ukomae na hand outNop? May be 30 out of 40? Vp kwenye izo test mnazofanya wana record marks ambapo baadae zitajumuishwa ktk wastan au inakuaje?
basi kupata marks za ivo si ajabu pale na hapo unakuwa upo juu, zinarecordiwa na mbaya zaidi karatasi za maswali wanachukuwa hakuna cha kufana correction wala nini, inabidi ukomae na hand out
pale chuo wanauza ila ni za polister fulani ivi, kama uko bvm utalitumia sana so nunua ambalo ni imara, kwa pale wanauza 18 elfu
Hapa ndo utamu sasa? na mimi nnaye plan kwenda na elfu hamsini nitapona kweli?
bado nipo nipothanks 4ur advce vp ww uko mwaka wa ngapi? Au ushamaliza
uliwahi piga t/f ya maswali 40 ukapata 10?
sijui, mie natumia langu la tangu mwaka 47xo madukani zinatoka kwa ngapi?
bado nipo nipo
sijui, mie natumia langu la tangu mwaka 47
duuh hapo kuna hatari ya kushndia maji mkuu !!
we acha tu, niliwahi piga paper moja nikapata 3/30 nikataka kubeba mabegi aiseehahah ningeona na sura yako ukiwa unauliza swali ningecheka zaidi, duh hio noma
kwa wachache wale wanaochelewa kuriportkuhusu hostel wamemix mwaka wa 1 na miaka mingne au tunakaa mwaka wa 1 tu! na kila chumba wanakaa wangapi?
teh teh, ninalo kwa zaidi ya miaka 7 sasahahahah hilo koti nila urithi au?
if posiple do it, usije kuwa unakula air bagaNgoja nianze kuweka akiba!
kwa wachache wale wanaochelewa kuriport
teh teh, ninalo kwa zaidi ya miaka 7 sasa
if posiple do it, usije kuwa unakula air baga
miaka 7 kwa iyo unakula kitu cha master au? Afu warembo wapo maana sisi wengne bila warembo hatuwezi soma aisee
wapo mfuko wako tuumiaka 7 kwa iyo unakula kitu cha master au? Afu warembo wapo maana sisi wengne bila warembo hatuwezi soma aisee
wapo mfuko wako tuu
HA HA HA duduz,apo BVM watakua watatu kati ya 57!
watakua wamebana kinomaa aisee