king rockie ATL
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 260
- 25
Daah ebana mzuka ushanipanda kwenda....vipi Ze duduz na LORDVILLE?
Daah ebana mzuka ushanipanda kwenda....vipi Ze duduz na LORDVILLE?
Naskia kuna kukaza msuli kama a leval w2 wana sap sana ya kwel hay mkuu
unauliza makofi police pale ni ful kukaza
haya mkuu nimekuelewa
Wale wa Bvm shule inaanza on the sport siku ya kufungua, na haina kuremba kitu cha anatomy, biochemistry kama kawa kama vp anza kupata reference mana quiz ni kama kawa kila baada pindi...
Wale wa Bvm shule inaanza on the sport siku ya kufungua, na haina kuremba kitu cha anatomy, biochemistry kama kawa kama vp anza kupata reference mana quiz ni kama kawa kila baada pindi...
Ushawahi kupewa pepa, pembeni unawekewa maji baridi na pipi ili uufurahie mtihani wako? karibuni Sua...
thanks mkuu vp unakula kozi gani pande hzo
Nimemaliza this year...
basi tu naona una informatn za bvm vp ulikuwa unapiga hii kozi au
Yap, ndiyo kozi niliyosoma na ni fani yangu kwa sasa, kiukweli ni kozi yenye mambo mengi kidogo ila yanayoeleweka, na msingi wa mafanikio ni self comitment pia determination... wish you great archivements...
shukrani sana hope apolinary pereka atafurahi sana kuwa na sisi
daah mkubwa hebu tupe more informatn abt diz kozi
vipi mdogo wangu! naona unaanza kuomba huruma ya mama Pereka hata kabla hujaiona SUA! karibu sana nami ni first year masters.
Sijaelewa ni info zipi uzitakazo mana maelekezo mengi including taratibu, sheria, na miongozo yote ya kozi unapewa mara unaporipoti chuo, vitu vya msingi kwenda navyo ni kama boot, labcot(nyeupe), fedha za kununua vitabu ikumbukwe vingi ni ghali, na vitu vingine vya kiuanafunzi...
duuh !! Kwani hapo chuoni hakuna library ya vitabu?? Kusuhu hilo labcoat and boots siwezi pata hapo chuoni au ni lazma ununue huku madukani uje nazo !! Na zinatoka kwa bei Gani?