ENGINE CONTROL
Senior Member
- Nov 20, 2011
- 136
- 27
Wanajamvi naomba kuelimishwa/fahamishwa juu ya hili.
Mim ni kijana mwenye umri wa miaka 26.Nimekaa zaidi ya 8 yrs bila kufanya mapenzi.Lakin kwa sasa ninampango wa kutafuta msicha wa kuoa.Mim najishughulisha na kazi ya ufundi wa umeme wa magari kipato changu ni chakawaida sana wastan kama wa 10 000 per day.
Je nivigezo vip ambavyo hustahili mwanaume kuoa?? Maana wengi nimekuwa nawasikia wakisema kuwa wataoa mpaka mambo yakiwa safi/wakiwa na fedha. Je ? kigezo hiki huwa kinamata sana??
naomba msaada wenu ni vigezo vipi vyakuzingatia /ua ukidhi ili uweze kuoa..
HAKUNA TENA JANDO KWA SIS VIJANA HIVYO JF NDO JANDO KWANGU.
Mim ni kijana mwenye umri wa miaka 26.Nimekaa zaidi ya 8 yrs bila kufanya mapenzi.Lakin kwa sasa ninampango wa kutafuta msicha wa kuoa.Mim najishughulisha na kazi ya ufundi wa umeme wa magari kipato changu ni chakawaida sana wastan kama wa 10 000 per day.
Je nivigezo vip ambavyo hustahili mwanaume kuoa?? Maana wengi nimekuwa nawasikia wakisema kuwa wataoa mpaka mambo yakiwa safi/wakiwa na fedha. Je ? kigezo hiki huwa kinamata sana??
naomba msaada wenu ni vigezo vipi vyakuzingatia /ua ukidhi ili uweze kuoa..
HAKUNA TENA JANDO KWA SIS VIJANA HIVYO JF NDO JANDO KWANGU.