Kwa mkopo wa chuo kikuu naweza kuufanyia biashara gani?

Mweuc Mpk Moyon

New Member
Oct 6, 2012
4
1
habar zenu wakuu,mm n mwanafunzi wa chuo kikuu(udsm) naomba ushauri ninaweza kuanzishia biashara gan sababu familia yng ina hali mbaya na kuna wadg zng wananitazama mm hvy bumu pekee haltosh.naombeni msaada wakuu
 
Back
Top Bottom