Tatizo lenu nyie wanafunzi mnapenda kufanya field sehemu then na ulipwe pia. Kama unataka experience nenda hata kwa wahindi, unachapa mzigo ila pay no utatoka hapo kazi unaijua. ILA ni kweli system inabidi ibadilike la sivyo man hakuna kitu hapa.wadau ambao tunatafuta kazi na kutegemea ajira na ambao hatuna uzoefu wa kazi i.e experience tushirikiane kuishinikiza serikali yetu ili ikomae na makampuni yote ili yatoe vipengele vya uzoefu kazinia au mnasemaje wadau wenzangu?
absolutely,chipunguzi wala chiongozi chochote.ujumbe umefika.naomba ieleweke hivi.........kufanya kazi miaka mi4/mi5 bado hakukupi guarantee ya kuijuz kazi husika..kuna watu wapo kwenye vitengo 10 yrs lakini ukimwambia adescribe kazi yake anabaki kung'aa macho...u graduates cha msingi be confident,make sure zile PT/TP mmezifanya kiuhakika na show them that u can do it!!maana ata hao wenye xperience zao wanaingizwaga kwenye intaview...ingekua ni kigezo sana basi wangeingia strait...kuna watu humu hata kuandika cv zao hawajui leo analia hana experience...ndo wale filed training mnashinda FB...kalaghabao!!!!!!!