hongera zake hilo jengo ni zaidi ya mlimani city..
Mwalimu aliwajengea RTC kila mkoa lakini kwa ukichwa maji mkaua....wenzenu wameendelea kuviboresha leo mwavitamani...:A S-coffee:anayejua atupe umiliki wa uchumi supermaket -- nachojua mimi inamilikiwa na wakenya na some shares ni serikali. hivi tuna kitu kama hiki sisi wabongo?