Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Jana nimeona matokeo ya vituo vya utawala nikajua kuwa ukitaa kumulika nyoka anzia miguuni kwako na nilikuwa najua kama REDET watakuwa vizuri kazi watakuwa waliianzia pale chuo kwa wanazuoni. Baada ya kuona matokeo nikasema kumbe REDET ni genge la wahuni linaloongozwa na muhuni aliyepata elimu kihuni bensen bana?