nauluza vigezo vya kujiunga na ualimu ngazi ya cheti 2015
Wee utapataa shidaa sanaa kwa vyuo vya government na sio co maana huwezii pataa clinical medicine wakatii hunavigezo vya diploma kabisaa labdaa certificate private allied health institutes
Physics D,Chemistry B,Biology D na yaliyobaki ni B&C
Wacha uongo wako wewe!Unadanganya ili iweje?MD anasoma KCMC,HKU anapta,UDOM anapata.Hayo matokeo sio ya BRN ni ya 2008.co jaimfai kwani ni level ndogo sana kwake.Usipende kukatisha watu tamaa na wakati wewe ulifeli.Ushahidi tunao hapa uspende kua mwongo.
Physics D,Chemistry B,Biology D na yaliyobaki ni B&C
Physics D,Chemistry B,Biology D na yaliyobaki ni B&C
Niliwahi kuomba mwaka 2011, kwa matokeo ya O'level na A'Level ila walinitema,,O'L nilikua na B flat kwa masomo yote,, A'level Phy=S, C=D, Bios=E.. Nikaenda St. Aggrey nikapga mwaka 1. Ulofata wakapandisha fee kutoka 1.6mill hadi 2.5mill na michango mingine inagonga 3.2mill, sponsor wangu akishndwa kumudu hvyo late 2012 nikapga diploma ya ualimu... Soo Jipangee
Kakaaa hayoo aliyoyatajaaa hapoo kwamimiii nilivyoona ni form four hatakabla ya yeye kusema babaa kutokana na alivyosema kwamba hayomengine ni B&C hahaha mbona umepaniki kaka jamaa hayoo nimatokeo yakee ya form four kama si BRN hakuna mengine ni B&C babuu ndomaana nkamwambia vile baba mbona unapanic vituu ambavyo ujavitafsiri kwanza jamaa ni form four huyoo
Nimemuelewa jombaa, nilijua ni ya A' level.Nilitaka kushangaa make 2008 ingekua pass za A' level ingekua ni pass nzur.Samahani jombaa.
Physics D,Chemistry B,Biology D na yaliyobaki ni B&C
Hahahahaha kwelii babaa hata minilijuaa sisi sioo BRN bhanaa kama ingejuwa results za 6 ningemsapotii sema napo angeshindwaa competition maana skuizi mbaka watuu wenye 1 zaoo madogo wanakosaa hahaha sio mbayaa babaa nimekuelewaa
nauluza vigezo vya kujiunga na ualimu ngazi ya cheti 2015
sorry anaye jua vyuo vya afya vya private vilivyopo mbeya naomba anitajieWee utapataa shidaa sanaa kwa vyuo vya government na sio co maana huwezii pataa clinical medicine wakatii hunavigezo vya diploma kabisaa labdaa certificate private allied health institutes