DON KILLUMINATI
Senior Member
- Jan 2, 2011
- 193
- 83
Hebu tujikumbushe walivyofanywa Waumini wa dini ya kikristo wanaosali Efatha, halafu tulinganishe suala hili lingeweza kufanyika kwa namna hii iwapo waumini hawa wangekuwa ni Waislam????
Ifike wakati na sisi Wakristo tuamke sasa, maana huu ni uonevu wa wazi wazi kabisa kwenye Nchi yetu sote, ni kwa nini Serikali na Jeshi la polisi wanawapendelea Waislam??? Ni kwa nini Wakristo wanaonewa kiasi hiki??
Ifike wakati na sisi Wakristo tuamke sasa, maana huu ni uonevu wa wazi wazi kabisa kwenye Nchi yetu sote, ni kwa nini Serikali na Jeshi la polisi wanawapendelea Waislam??? Ni kwa nini Wakristo wanaonewa kiasi hiki??
Last edited by a moderator: