QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Ndugu zangu ambao hamjawa converted kumpigia kura dr. Slaa (yaani bado mnadhani mtampa kura zenu Kikwete) jiulizeni maswali haya kumi.
- Una maisha bora?
- Wezi wa EPA wamepatikana?
- Amekutajia wale waliorudisha fedha za EPA?
- Amewachukulia hatua gani baada ya kurudisha?
- We mfanyakazi, amekwambia wazi wazi kuwa anahitaji kura yako?
- Unajua hatima ya Kigamboni, Mbagala na wengine waliohamishwa bila kulipwa fidia?
- Kati ya ajira milioni mbili,umebahatika moja?
- Wazee wa Afrika masharikiwamelipwa?
- Unajua lilipo kaburi la Mtanzania mwenzetu DAUDI BALALI?
- Kwanini Anaogopa midahalo mpaka anamtuma Kinana badala yake?