Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Nimefuatilia kwa makini sana sakata la mawaziri kujiuzulu bungeni na kukungundua kuwa kumbe serikali ya CCM kiboko sana! Na hili likathibitishwa na msomi ninaye mkubali Dr. Bana ambae huwa akiwapiga CCM tunamsifia akitupiga CDM tuna kuja juu na kumwona kibaraka! Alisema serikali haiwezi endeshwa kwa kushinikizwa!! Kesho nimesikia Kamati Kuu inakaa na huenda kwa nafasi yao watajadili hili la Dodoma lakini bila shinikizo. Hiyo ndo serikali bwana.
Tunakupongeza na penzi lako la dhayi kwa magamba, wala sikushangai kwani hata majambazi, wauwaji huwa wana wapenzi maishani mwao! Hata Hosama alikuwa na Mpenzi!