Nimefuatilia kwa makini sana sakata la mawaziri kujiuzulu bungeni na kukungundua kuwa kumbe serikali ya CCM kiboko sana! Na hili likathibitishwa na msomi ninaye mkubali Dr. Bana ambae huwa akiwapiga CCM tunamsifia akitupiga CDM tuna kuja juu na kumwona kibaraka! Alisema serikali haiwezi endeshwa kwa kushinikizwa!! Kesho nimesikia Kamati Kuu inakaa na huenda kwa nafasi yao watajadili hili la Dodoma lakini bila shinikizo. Hiyo ndo serikali bwana.