Choko yaani chokomag3;
first; Unaonaje tukichukua zile Bil.90 tunazowapa kanisa through MoU tukawapa madaktari utakubali?? najua hutakubali uache unafiki wako wewe ungelia na Richmond ya kanisa i.e. MoU ambayo hata hivyo wameshindwa kuboresha mazingira KCMC na Bugando..
Pili; nawa challenge hawa madaktari wajenge hospitali yao waendeshe na walipane kama wanavyotaka (kama wanafikiri ni rahisi let them try) waache wale madaktari wanaotosheka na mshahara wa serikali wachape kazi ..otherwise hii ni siasa na kukosa utu na inachochewa na wanasiasa kama wewe..na mwanakijiji et al. after all this is free market
tatu; madakatari Tanzania wanasoma bila kulipa mikopo, hizo hela zinatoka kwa wananchi wanaowatesa kwa sasa; simply hawana hoja isipokuwa harakati za kisiasa..