Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu, video hii yaniliza!

Tz hamna ki2 nw....
Ni maslah ya wa2 wachache ambao hawalizk na walichonacho aaaaarrggghhhh!!!!!
 
mag3;

first; Unaonaje tukichukua zile Bil.90 tunazowapa kanisa through MoU tukawapa madaktari utakubali?? najua hutakubali uache unafiki wako wewe ungelia na Richmond ya kanisa i.e. MoU ambayo hata hivyo wameshindwa kuboresha mazingira KCMC na Bugando..

Pili; nawa challenge hawa madaktari wajenge hospitali yao waendeshe na walipane kama wanavyotaka (kama wanafikiri ni rahisi let them try) waache wale madaktari wanaotosheka na mshahara wa serikali wachape kazi ..otherwise hii ni siasa na kukosa utu na inachochewa na wanasiasa kama wewe..na mwanakijiji et al. after all this is free market


tatu; madakatari Tanzania wanasoma bila kulipa mikopo, hizo hela zinatoka kwa wananchi wanaowatesa kwa sasa; simply hawana hoja isipokuwa harakati za kisiasa..

Kwanza - Bilioni 90 serikali huwapa makanisa kwa ajili ya nini, (mishahara na posho za maDr?) Na je serikali hufanya auditing? , na kama hufanya wamegundua nini na kuchukua hatua gani? na kama hawafanyi auditing au hawachukui hatua yeyote kunapokuwa na ubadhirifu utakubali sasa kukiri kuwa tuna serikali na uongozi legelege?
.
Pili - Pili kuhusu kujenga hospitali zao huko ni kuchanganya mambo. wewe hujui kuwa private hospitals zipo na huko madaktari hawajagoma? mbona hao wanaolia hapo Muhimbili huwaambii waende huko? Tunachojadili hapa ni public hospitals kwa ajili ya wananchi waliowengi wasiomudu ghaharama za private hospitals ambao wanahitaji serikali iwahudumie kwa kuajili maDrs. Labda huelewi tofauti ya unachosuggest na mada inayojadiliwa. Na je hao maDrs wanaotosheka na mishahara ndo wepi hao mbona hatuwaoni hapo Muh2 kuwatibu hao wanaolia? (kama wapo?)

Tatu sina uhakika kama madaktari wote wamesomeshwa na serikali na hata kama ingekuwa hivyo, hivi ni nani anayelipa sasa. BOT, TRA na wabunge? na wanalipa sh ngapi? kwa mwezi. maana kama hiyo ni hoja basi tujadiliane ili walipe ili nao waanze kulipwa kama wenzao wa TRA BOT na wabunge.
 
Tz hamna ki2 nw....
Ni maslah ya wa2 wachache ambao hawalizk na walichonacho aaaaarrggghhhh!!!!!

sawa kabisa na hali iliyopo watu wanajitahidi kuiamsha serikali kwa migomo yenyewe inawazuia halafu wakiwa wao peke yao wanaanza kulalamika maisha magumu.

let them die may we will meet there(heaven)
rip tanzania..
 
mag3;

first; Unaonaje tukichukua zile Bil.90 tunazowapa kanisa through MoU tukawapa madaktari utakubali?? najua hutakubali uache unafiki wako wewe ungelia na Richmond ya kanisa i.e. MoU ambayo hata hivyo wameshindwa kuboresha mazingira KCMC na Bugando..

Pili; nawa challenge hawa madaktari wajenge hospitali yao waendeshe na walipane kama wanavyotaka (kama wanafikiri ni rahisi let them try) waache wale madaktari wanaotosheka na mshahara wa serikali wachape kazi ..otherwise hii ni siasa na kukosa utu na inachochewa na wanasiasa kama wewe..na mwanakijiji et al. after all this is free market


tatu; madakatari Tanzania wanasoma bila kulipa mikopo, hizo hela zinatoka kwa wananchi wanaowatesa kwa sasa; simply hawana hoja isipokuwa harakati za kisiasa..

wewe topical kila ikija hoja ya mgomo wa madaktari,vihoja vyako ni hivihivi MoU,MoU kila kukicha.Acha kujitafutia magonjwa yasiyotibika mkuu kwa chuki za kidini.
 
Kwa hisani ya Legal and Human Rights Centre kupitia kwa mwanajamvi EMT.




Nimejikuta natoa machozi kitu ambacho hakikuwezekana katika maisha yangu yote hata pale nilipowapoteza ndugu zangu wa karibu. Nimejiuliza ni kwa nini hali imekuwa hivi kwani huzuni peke yake haijawahi kunitoa machozi! Ukweli ni kwamba hii ni zaidi ya huzuni, ni uchungu uliojaa hasira! Kwamba vifo vingi vya wapendwa wetu vingeweza kuepukika kama si upumbavu, uovu, ulafi, ufisadi, ubadhirifu na udhaifu wa viongozi walioko madarakani, ni ukweli mchungu na usiovumilika... hakika nalia...

Nawalilia watu kama FaizaFoxy, Rejao, Ritz, Barubaru, Raia Mwema, Raisi wa Migomo, Topical, Malaria Sugu na wengineo ambao bila shaka watakuwa wanatabasamu kwa utendaji uliotukuka wa Jakaya Mrisho Kikwete uliotufikisha hapa.


Watanzania kwa unafiki yani leo ndiyo umelia toka uzaliwe?
 
Last edited by a moderator:
Usitukane wewe jibu hoja tatu nilizoweka hapo one after another nitakuelewa..

Nasema hivi madai ya madaktari ni illusion hayatekelezeki wakae chini wajadiliane wakiwa hawana jazba na serikali; lakini kama vipi hii ni soko huria

a. Wajenge hospitali zao walipane wapendavyo (problem solved) serikali itashindana na soko katika la ajira

b. Kila anayesomea udakatari Tanzania nakusomeshwa na kwa kodi za wananchi aingie bond na serikali kwamba atafanya kazi serikalini for 5-8 kwa mshahara wa serikali uliopo

c. Tuchukue bil.90 tunazo wapa kanisa tuwalipe madaktari maana kanisa limeshindwa kuboresha hospitali zake japo wanapokea pesa za umma..

JIBUNI hizo hoja

c.

Kwa kuwa serikali inatambua wazi kuwa si rahisi kwa kila daktari kufungua hospitali yake haina maana kuwa ma doctor ni mateka wao. Kuwa ni lazima wakubaliane na kila kitu ambacho mtu fulani aliyeko serikalini ameamua. I mean doctors si. FFU wana haki binafsi rejea moja ya malalamiko yao ni kumtaka PS wa wizara hiyo kuondolewa. Hii ni kutokana na mtazamo wao kuwa si mtu sahihi kwa post husika NB soko huru halina maana ya soko holela.

Kama kwa mtazamo wako njia bora ya kila mwajiriwa kudai haki yake ni kujifanya kuwa mwajiri ntakuwa na mashaka makubwa na uwezo wa ubongo wako (2)lengo kubwa la serikali kupitia MoU ni kutimiza wajibu wake kupitia wakala (kanisa)hivyo ni jukumu lake vilevile kujiridhisha na utendaji wa wakala aliyepewa dhamana hiyo,hivyo ikiwa serikali ya JMT(sina hakika kama ndiyo unayoitetea kwa nguvu zako zote)itaona ni busara kuvunja MoU bila kukiuka utaratibu basi ni sehemu ya uwajibikaji halali wa serikali.

Ndugu kwa picha angavu kabisa naamini chuki yako kuu si juu ya MoU bali kanisa naamini hata mou ikivunjika chuki yako itadumu huku historia ikikuhukumu unajua wazi jinsi serikali yako inavyohusika kwenye sakata hili la mgomo lakini umeamua kugeuzia macho yako kanisani kwa sababu ya dini ukijilazimisha kusahau kabisa jinsi taasisi hizo za kanisa zinavyotoa mchango mkubwa kwenye sekta ya afya kumbuka jinsi hospitali kama KCMC zilivyokuwa taabani mikononi mwa serikali hadi walipoamua kuirudisha kwa kanisa je hizo billions unazozililia zilishindwaje kuendeleza huduma kwa kiwango sawa na kanisa ikiwa pesa zinatoka kwao?

Je, ikiwa serikali itaamua kukufurahisha kwa kuvunja mkataba huo na kisha kanisa likaamua kufunga hosp zake kcmc,bugando,ndanda,nk unafikiri ni nani atakayeumia? jiulize je ni hospitali ipi iliyofunga kabisa huduma zake mpaka sasa na je hiyo ni ya kanisa? Ndugu yangu waonee huruma waislamu wenzako wasioelewa badala ya kuwadanganya kisha ukawaacha gizani. Umenisikitisha
 
Inasikitisha kwa kweli.

Sijui hiyo mifisaidi inawezaje kulala usiku huku ikijua maisha ya watu yanapotea kwasababu ya ujinga, ulafi na ubinafsi wao. Pia ni aibu sana kuwa na serikali isiyofanya lolote zaidi ya kuendelea kudhoofisha afya na maisha ya wananchi wake. Ni bora kuwa bila kuliko kuwa nayo bila ya kuwa na faida.

Pole ziwafikie wale wote wanaohitaji huduma za kiafya na hawapati kwasababu tu ya kiburi na ujinga wa hii serikali hewa tuliyonayo.
 
Kwanza - Bilioni 90 serikali huwapa makanisa kwa ajili ya nini, (mishahara na posho za maDr?) Na je serikali hufanya auditing? , na kama hufanya wamegundua nini na kuchukua hatua gani? na kama hawafanyi auditing au hawachukui hatua yeyote kunapokuwa na ubadhirifu utakubali sasa kukiri kuwa tuna serikali na uongozi legelege?
Pili - Pili kuhusu kujenga hospitali zao huko ni kuchanganya mambo. wewe hujui kuwa private hospitals zipo na huko madaktari hawajagoma? mbona hao wanaolia hapo Muhimbili huwaambii waende huko? Tunachojadili hapa ni public hospitals kwa ajili ya wananchi waliowengi wasiomudu ghaharama za private hospitals ambao wanahitaji serikali iwahudumie kwa kuajili maDrs. Labda huelewi tofauti ya unachosuggest na mada inayojadiliwa. Na je hao maDrs wanaotosheka na mishahara ndo wepi hao mbona hatuwaoni hapo Muh2 kuwatibu hao wanaolia? (kama wapo?)
Tatu sina uhakika kama madaktari wote wamesomeshwa na serikali na hata kama ingekuwa hivyo, hivi ni nani anayelipa sasa. BOT, TRA na wabunge? na wanalipa sh ngapi? kwa mwezi. maana kama hiyo ni hoja basi tujadiliane ili walipe ili nao waanze kulipwa kama wenzao wa TRA BOT na wabunge

Mkuu wewe pekee ndio umetumia brain kujibu hoja zangu..wengine washabiki wakubwa

a. Yes ni kweli kwamba serikali inatoa bil.90 kwenye project za kanisa na hakuna auditing yeyote ile siyo kutoka kwa mkaguzi mkuu wala kamati ya bunge..hii ni sawa na richmond skendo ..wananchi tunatakiwa kuikumbusha serikali mara kwa mara hii issue maana inavyoonekana ni ulaji kati ya maaskofu na wanasiasa...hapo serikali inastahili lawama kubwa sana..

b. Nafahamu private ndio maana nikawashauri madaktari kama wanaona huyu muajiri aitwe serikali anatoa mshiko mdogo waache kazi waende private au wajenga hospitali zao walipane mshahara huo..hii itasaidia kupandisha soko lao na hivyo serikali ikikosa waajiriwa itapandisha mshahara ndio soko huria hiyo..ya nini kulialia na mwajiri hana uwezo??

c. Ikiwa watafanya kama kipengele (b) wale watakaotaka kufanya kazi serikalini watakuwa wamekubali hali halisi ya muajiri wao kifedha na kimazingira..kuna wengi wanafuata group pressure tu ndio kawaida ya mgomo..kuna walio comfortable na mshahara huo japo wakiongoezewa itakuwa swa tu..

d. Unaposomea udaktari tanzania hulipi mkopo japo unalipiwa na wananchi bure, lakini fani zingine unatakiwa kulipa mkopo; nafikiri ni high time serikali iweke bond na wanaosemea udaktari kwenye vyuo vya umma kwa mkopo wa serikali wafanye kazi kwa miaka 5-8 bila kuhama kwa mshahara uliopo.
 
KIJOBI.JPG
 
Kwa kuwa serikali inatambua wazi kuwa si rahisi kwa kila daktari kufungua hospitali yake haina maana kuwa ma doctor ni mateka wao. Kuwa ni lazima wakubaliane na kila kitu ambacho mtu fulani aliyeko serikalini ameamua. I mean doctors si. FFU wana haki binafsi rejea moja ya malalamiko yao ni kumtaka PS wa wizara hiyo kuondolewa. Hii ni kutokana na mtazamo wao kuwa si mtu sahihi kwa post husika NB soko huru halina maana ya soko holela. Kama kwa mtazamo wako njia bora ya kila mwajiriwa kudai haki yake ni kujifanya kuwa mwajiri ntakuwa na mashaka makubwa na uwezo wa ubongo wako (2)lengo kubwa la serikali kupitia MoU ni kutimiza wajibu wake kupitia wakala (kanisa)hivyo ni jukumu lake vilevile kujiridhisha na utendaji wa wakala aliyepewa dhamana hiyo,hivyo ikiwa serikali ya JMT(sina hakika kama ndiyo unayoitetea kwa nguvu zako zote)itaona ni busara kuvunja MoU bila kukiuka utaratibu basi ni sehemu ya uwajibikaji halali wa serikali. Ndugu kwa picha angavu kabisa naamini chuki yako kuu si juu ya MoU bali kanisa naamini hata mou ikivunjika chuki yako itadumu huku historia ikikuhukumu unajua wazi jinsi serikali yako inavyohusika kwenye sakata hili la mgomo lakini umeamua kugeuzia macho yako kanisani kwa sababu ya dini ukijilazimisha kusahau kabisa jinsi taasisi hizo za kanisa zinavyotoa mchango mkubwa kwenye sekta ya afya kumbuka jinsi hospitali kama KCMC zilivyokuwa taabani mikononi mwa serikali hadi walipoamua kuirudisha kwa kanisa je hizo billions unazozililia zilishindwaje kuendeleza huduma kwa kiwango sawa na kanisa ikiwa pesa zinatoka kwao?je ikiwa serikali itaamua kukufurahisha kwa kuvunja mkataba huo na kisha kanisa likaamua kufunga hosp zake kcmc,bugando,ndanda,nk unafikiri ni nani atakayeumia?jiulize je ni hospitali ipi iliyofunga kabisa huduma zake mpaka sasa na je hiyo ni ya kanisa? Ndugu yangu waonee huruma waislamu wenzako wasioelewa badala ya kuwadanganya kisha ukawaacha gizani. Umenisikitisha

a. Mkuu nawasikitia sana watu kama wewe ambao wanakubali kuchezea fedha za umma kuendesha miradi ya kanisa (eti chuki) yes nawachukia watu wanaotumia dini kuiba pesa za umma 90 bil. kila mwaka zinatosha kuboresha na kulipa mafao ya madaktari wa serikali kote nchini; kanisa wamepewa wamekula wao na maaskofu na baadhi ya wanasiasa hazijaenda kuboresha KCMC wala bugando..kama unaichukia Richmond ni lazima uchukie MoU; kama huwezi kuchukia zote jiite MNAFIKI perid..

b. Madaktari madai yao mengi ni illusion, kama wanaona muajiri anayeitwa serikali hatoi mshiko wa kutosha waende private au wajenga hospitali zao (ukweli huu japo ngumu kumeza) lazima tusime sasa...faida ya hii move ni kwamba hospitali za serikali zitakosa waajiri kwasababu ya mshahara na mazingira then wataongoeza mshahara huoni hata hii logic???
 
sawa kabisa na hali iliyopo watu wanajitahidi kuiamsha serikali kwa migomo yenyewe inawazuia halafu wakiwa wao peke yao wanaanza kulalamika maisha magumu.

let them die may we will meet there(heaven)
rip tanzania..

yap thats the reality wote njia ni 1....
AMKA TANZANIA..:!!!
 
wewe topical kila ikija hoja ya mgomo wa madaktari,vihoja vyako ni hivihivi MoU,MoU kila kukicha.Acha kujitafutia magonjwa yasiyotibika mkuu kwa chuki za kidini.
Huyo achana naye, kumjibu ni kumpa heshima asiyostahili na hata akihangaika kuitafuta kwa udi na uvumba, kamwe hataipata!
 
wewe topical kila ikija hoja ya mgomo wa madaktari,vihoja vyako ni hivihivi MoU,MoU kila kukicha.Acha kujitafutia magonjwa yasiyotibika mkuu kwa chuki za kidini.

Hadi watakaporudisha pesa za umma ndio hizo kelele zitaiisha; vinginevyo msikwepe ukweli kwasababu nyie ni wakristo kwamba kanisa wanatuibia watanzania wakiwamo pesa za waislamu kuendesha projects za kanisa..

mnaniudhi wale ambao mnafanya unafiki kupinga ufisadi lakini ukiwa wa kanisa kimyaaaaaaaaaa..unafiki eti nimelia wapi
 
Back
Top Bottom