Kwa mara nyingine tena mahakama zetu zimezidi kujionyesha wazi jinsi zinavyotumiwa na serikali kama mdoli wake
kwa kutoa hukumu saa kumi za usiku bila hata ya mshtakiwa kupewa muda wa kutosha kuweza kufika mahakamani.
kwa wale mliokuwa na chembe chembe za imani na mahakama zetu nafikiri hili linaweza kuwa game changer. mpaka mlango wa wanasiasa kuwazawadia vyeo majaji utakavyofunga msitegemee mahakama huru Tanzania hasa kwa issue zinazouhusu serikali kama ilivyokuwa kwenye swala la mgombea binafsi.
kwa kutoa hukumu saa kumi za usiku bila hata ya mshtakiwa kupewa muda wa kutosha kuweza kufika mahakamani.
kwa wale mliokuwa na chembe chembe za imani na mahakama zetu nafikiri hili linaweza kuwa game changer. mpaka mlango wa wanasiasa kuwazawadia vyeo majaji utakavyofunga msitegemee mahakama huru Tanzania hasa kwa issue zinazouhusu serikali kama ilivyokuwa kwenye swala la mgombea binafsi.