cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
View attachment 45784View attachment 45784View attachment 45784View attachment 45784
Bado najifunza kupika keki hasa upambaji.
Hii ni keki yangu ya kwanza kabisa niliyopika na kuipamba mwenyewe.
Sasa hivi najua kupika flavour mbalimbali na kupamba zaidi ya hapa.
Sina mpango wa kufanya biashara ya keki hivyo nikizipika nagawa kwa rafiki zangu wenye birthday.
asanteCongrats! It looks very delicious!
Kwanini? Fanya utoe upinzani kwa The Flying Chef (Mama Tambaza)
Hongera Cheusi...mwanamke kujiamini hasa jikoni jamani!
Unatudanganya mara unataka utengeneze uuze mara nigawe kwa rafiki zangu tukuelewe je sasaView attachment 45784View attachment 45784View attachment 45784View attachment 45784
Bado najifunza kupika keki hasa upambaji.
Hii ni keki yangu ya kwanza kabisa niliyopika na kuipamba mwenyewe.
Sasa hivi najua kupika flavour mbalimbali na kupamba zaidi ya hapa.
Sina mpango wa kufanya biashara ya keki hivyo nikizipika nagawa kwa rafiki zangu wenye birthday.
Unatudanganya mara unataka utengeneze uuze mara nigawe kwa rafiki zangu tukuelewe je sasa
hatua niliyofikia naweza kumfunika sema tu kuandaa keki kuna hitaji muda na ubunifu ili kila siku utoe style mpya mpya hivyo bei watakayonilipa sitaridhika kwa muda na akili niliyoumiza kubuni urembo wa maana hivyo bora tu niendelee kufanya kama hobby tu.
wapi nimesema nataka kuuza?nina kipato kinatosha kukununua hadi wewe kwa hiyo sina shida yakuuza keki.
wapi nimesema nataka kuuza?nina kipato kinatosha kukununua hadi wewe kwa hiyo sina shida yakuuza keki.