WanaJF,napenda kuleta hoja mbele yenu tuijadili hii nikutokana na kikao cha TCU kilichokaa pale BLUE PEAL dar es salaam 27/06/2012 na marais wa vyuo vikuu vyote nchini na kukubaliana kwamba vyuo vikuu vyote nchini viwe na grade sawa katika ufaulu,GRADE hizo ni kama ifuatavyo
40-49, C
50-59,B
60-69,B+
70-100,A
je hii itakubalika kwani vyuo vingine kama SUA,MZUMBE,SAUT vina anzia 50 kama C,hii wamependekeza kwa sababu mbalimbali 1.mwanafunzi anpodisco chuo kimoja anaweza kwenda chuo kingine akaendelea kusoma ile course aliyofeli na mwaka uleule(kuhama chuo). nawasilisha
40-49, C
50-59,B
60-69,B+
70-100,A
je hii itakubalika kwani vyuo vingine kama SUA,MZUMBE,SAUT vina anzia 50 kama C,hii wamependekeza kwa sababu mbalimbali 1.mwanafunzi anpodisco chuo kimoja anaweza kwenda chuo kingine akaendelea kusoma ile course aliyofeli na mwaka uleule(kuhama chuo). nawasilisha