Shukrani A. Ngonyani
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,179
- 2,004
Si mwingine bali ni Saed Kubenea.
Unajua kwa nini?
1. Kuondoa propaganda ya udini.
2. Kuweka uwiano wa kikanda na kuondo propaganda hiyo.
3. Kubenea ana hamu ya kujijenga kisiasa, na tumeona kwa muda mchache tu amekuwa bora kwenye siasa za ndani ya jimbo na kitaifa, hivyo kumkabidhi chama atakubali afe nacho ili kujipa heshima.
4. Ni mtu anayeogopwa sana na wanakijani,(wengi hawajui hili). Ni mtu mwenye hulka ya kina Lema, Lissu nk. Wako tayari kusema ukweli hata wakiwa peke yao dhidi ya nyumbu wa kijani elfu moja.
nyumbu wa kijani msikasirike, ni yetu haya. Na mawazo yangu tu.
Naleta mezani kwa mjadala
Unajua kwa nini?
1. Kuondoa propaganda ya udini.
2. Kuweka uwiano wa kikanda na kuondo propaganda hiyo.
3. Kubenea ana hamu ya kujijenga kisiasa, na tumeona kwa muda mchache tu amekuwa bora kwenye siasa za ndani ya jimbo na kitaifa, hivyo kumkabidhi chama atakubali afe nacho ili kujipa heshima.
4. Ni mtu anayeogopwa sana na wanakijani,(wengi hawajui hili). Ni mtu mwenye hulka ya kina Lema, Lissu nk. Wako tayari kusema ukweli hata wakiwa peke yao dhidi ya nyumbu wa kijani elfu moja.
nyumbu wa kijani msikasirike, ni yetu haya. Na mawazo yangu tu.
Naleta mezani kwa mjadala