mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
ah hahahahaaa ni kweli mkuuPenye rizki hapakosi fitina.
ah hahahahaaa ni kweli mkuuPenye rizki hapakosi fitina.
Siyo fitina, hiyo ni biashara kama biashara nyingine, tukiondoa uzembe wa selekali ya ccm, hata nyie mlitakiwa kulipa kodi na kuwajibika kutoa taarifa za kiusalama pale inapo bidi kwani kazi zenu zinahusika.Penye rizki hapakosi fitina.
Mkuu wewe unalipa kodi zote?Siyo fitina, hiyo ni biashara kama biashara nyingine, tukiondoa uzembe wa selekali ya ccm, hata nyie mlitakiwa kulipa kodi na kuwajibika kutoa taarifa za kiusalama pale inapo bidi kwani kazi zenu zinahusika.
NdiyoMkuu wewe unalipa kodi zote?
Good for you. Mie silipiNdiyo
Bad for us, ni vyema ukalipa mkuu.Good for you. Mie silipi
Hahahaaa. Msema kweli ni mpenzi Wa Mungu.Good for you. Mie silipi
Hahahaha mkuu ntajitahidiBad for us, ni vyema ukalipa mkuu.
Chumba masta na sebure ,nyumba iwe ndani ya geti. Kijitonyama nitapata?Mkuu kwa mwenge kwa laki na ishirini sina
Ulivyonavyo bei yake sh ngapi (kiwango cha chini sh ngapi)unapata mkuu ni ofa yako tuu
Hiyo ya 200k ikoje??200k mkuu maeneo ya soccer city, ila mbezi maeneo ya tangi bovi na makonde vipo vya 150k, mwenge mitaa yaTRA kuna za 200k na 250k,