Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
hivi toka lini barabara zikawa maendeleo?
hizo ni nyenzo za maendeleo kwa sababu maendeleo yanatafsirika katika maisha ya kila siku ya wananchi.
madini yote tanzania kodi yake kwa mwaka haiwezi kujenga barabara ya km 500.
deni la taifa ni sawa na bajeti ya mwaka huu.mi naona bora tulale njaa tulipe deni la watu.
hizo ni nyenzo za maendeleo kwa sababu maendeleo yanatafsirika katika maisha ya kila siku ya wananchi.
madini yote tanzania kodi yake kwa mwaka haiwezi kujenga barabara ya km 500.
deni la taifa ni sawa na bajeti ya mwaka huu.mi naona bora tulale njaa tulipe deni la watu.