Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Ndugu zangu, Kweli madai yenu ni ya msingi sana na waunga mkono kwa hili, Hata Mh Rais wa jamhuri anajua sisi wananchi wa chini tuko pamoja nanyi. Tunalaani kitendo cha kupigwa na kuumizwa daktari mwenzenu Dr Stephen Ulimboka. Tumefedheheshwa na kukasirishwa na unyama wote aliotendea na tunalaani wote waliofanya hivyo. Madktari tunaomba mtoonee huruma tunakufa ndugu zenu serikali hii ni kiziwi haisikii asilaani. Ila ngoma ivumayo sana wote twajua.
Kuhusiana ombi liloshadadiwa la Mshahara tunawaomba mbadilishe ombi lile nanyi mdai kuwa na maduka yenu ambayo vitu vyake havikati kodi kama wafanyiwavyo wanajeshi na vilevile muwe mnapata fedha za posho mbali na mishahara yenu katikati ya mwezi kama wanajeshi kwani wao wanalinda uhai na nyie mnalinda uhai.
Ndugu zangu Madaktari naomba mbadili kima cha chini kwa million 3.5 kwenda kwenye hizo privileged nyingine na pia naomba muandae maandamano ya amani ya kupinga mazingira mabovu ya kufanyia kazi nasi tutawaunga mkono hata ikiwezekana mchana huu.
Madaktari naomba msikatishwa tamaa na watu ambao hawavilali vitanda vyenu kwani hawajui kunguni waliomo siku ndege ya rais ikidongoka akakosa CT scan hospital atajua mlikuwa mnamaanisha nini kwa sasa haelewi.
Riz akipata ajali ya mi VX yake wakati akienda kuangalie lile roli la mafuta litakalochomwa na wananchi tunduma kesho atajua nini maana ya uwepo wa x ray mashine kwenye hospital za wilaya.
Mama spika siku lile super Feo lake litakapo ungua moto na kutakiwa huduma ya haraka pale makambako na yeye akiwemo aajua nini maana ya umuhimu wa kuruhusu hoja ya mgomo wa madaktari ijadiliwe bungeni kwa dharura.
Madaktari tuko nanyinyi ila naomba, tutumie summary tu hapa ingieni barabarani kiwake mapema ili tutibu haraka yaishe baasi.
Ni hayo tu.
Wenu katika safari ya magwepande
Mwanaharakatihuru.
Kuhusiana ombi liloshadadiwa la Mshahara tunawaomba mbadilishe ombi lile nanyi mdai kuwa na maduka yenu ambayo vitu vyake havikati kodi kama wafanyiwavyo wanajeshi na vilevile muwe mnapata fedha za posho mbali na mishahara yenu katikati ya mwezi kama wanajeshi kwani wao wanalinda uhai na nyie mnalinda uhai.
Ndugu zangu Madaktari naomba mbadili kima cha chini kwa million 3.5 kwenda kwenye hizo privileged nyingine na pia naomba muandae maandamano ya amani ya kupinga mazingira mabovu ya kufanyia kazi nasi tutawaunga mkono hata ikiwezekana mchana huu.
Madaktari naomba msikatishwa tamaa na watu ambao hawavilali vitanda vyenu kwani hawajui kunguni waliomo siku ndege ya rais ikidongoka akakosa CT scan hospital atajua mlikuwa mnamaanisha nini kwa sasa haelewi.
Riz akipata ajali ya mi VX yake wakati akienda kuangalie lile roli la mafuta litakalochomwa na wananchi tunduma kesho atajua nini maana ya uwepo wa x ray mashine kwenye hospital za wilaya.
Mama spika siku lile super Feo lake litakapo ungua moto na kutakiwa huduma ya haraka pale makambako na yeye akiwemo aajua nini maana ya umuhimu wa kuruhusu hoja ya mgomo wa madaktari ijadiliwe bungeni kwa dharura.
Madaktari tuko nanyinyi ila naomba, tutumie summary tu hapa ingieni barabarani kiwake mapema ili tutibu haraka yaishe baasi.
Ni hayo tu.
Wenu katika safari ya magwepande
Mwanaharakatihuru.