Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,744
Kikweli ninawasoma japo kijuujuu katika mabandiko yenu. Kuna tatizo nimegundua. Mnahusudu sana kutafutwa wakati shida ni yako. Mbona kuna mabandiko ya wanaume wakitaka wenza hamuwatafuti mnasubiri kubandika nyie ili mtafutwe? Nina mfano mdogo humu. Nilibandika tangazo langu nikaweka na namba. Binti anabip. Baadae unapiga halafu ktk maongezi anasema nikusaidie nini. What the f***k! Tunaongea ukweli tu. Una shida jilegeze. Hata hao ambao nimeshaona mabandiko yao (sija apply. Yupo bed tayari ananisubiri) pamoja na mahitaji yao bado wataleta usumbufu usio lazima. Someni tu lkn si muhimu kuchangia