Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
please...
natamani nikupate uwe wangu,
nitakupenda wange wangu,
nitakupa nafsi yangu,
mimi niatoa wewe.
napenda tabia,
sio siri nina nia,
moyo wangu utatulia,
mimi nataka kukuoa wewe.
niko na elimu nzuri,
umbo ni makini kitandani,
nitakupa na nitakusitiri,
unaonanjje nikikuoa wewe!?
bahati jaribia tuwe wawili,
raha tuzikabili,
nitumie e-mail,
unaonaje uki-ni-pm, nataka kukuoa wewe.
nawakilisha..................
natamani nikupate uwe wangu,
nitakupenda wange wangu,
nitakupa nafsi yangu,
mimi niatoa wewe.
napenda tabia,
sio siri nina nia,
moyo wangu utatulia,
mimi nataka kukuoa wewe.
niko na elimu nzuri,
umbo ni makini kitandani,
nitakupa na nitakusitiri,
unaonanjje nikikuoa wewe!?
bahati jaribia tuwe wawili,
raha tuzikabili,
nitumie e-mail,
unaonaje uki-ni-pm, nataka kukuoa wewe.
nawakilisha..................