LATTICE BOND
JF-Expert Member
- May 30, 2011
- 219
- 48
Nyoni Kasimamishwa!!! what about Jairo's Story? wote wale ni makatibu wakuu!! kwa nini Pinda ashindwe kumsimamisha Jairo halafu aweze kumsimamisha Nyoni?
Hakika madaktari waliingizwa mjini!! walionyeshwa bulb wakaambiwa ndio mwezi nao wakakubali!! huenda ndio sababu madaktari hawa huweza kufanya operation ya Kichwa badala ya ile ya mguu!!!
WHAT A SAD STORY!!
Hakika madaktari waliingizwa mjini!! walionyeshwa bulb wakaambiwa ndio mwezi nao wakakubali!! huenda ndio sababu madaktari hawa huweza kufanya operation ya Kichwa badala ya ile ya mguu!!!
WHAT A SAD STORY!!