Mr.mzumbe
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,014
- 957
Kwa kweli mzumbe maisha ni magumu sana {kitaalumu},maisha ya uku ni mchaka mchaka!!idadi ya test kwa wiki kwangu mimi naiona ni kubwa sana,yaani unakuwa mpaka na test 4 au 5 kwa wiki.
Vyuo vingine maisha kama MU au hapa kumezidi???
Ukiwa kilaza ndani ya semester moja unakuwa ushatengeneza ngoma zako nne {disko wa fail ya masomo ma 4}.
Kwakweli Mzumbe muhisikie huko huko mukiwa kwenye vijiwe vyenu vya kahawa,lakini kwa swala zima maisha lazima uwe na roho ya mpaka.
MU=MILITARY UNIVERSITY.
NOTE:
Wadogo na watoto wenu vilaza musiwarusu kuja huku, mwisho mutawapa lawama bure.
Vyuo vingine maisha kama MU au hapa kumezidi???
Ukiwa kilaza ndani ya semester moja unakuwa ushatengeneza ngoma zako nne {disko wa fail ya masomo ma 4}.
Kwakweli Mzumbe muhisikie huko huko mukiwa kwenye vijiwe vyenu vya kahawa,lakini kwa swala zima maisha lazima uwe na roho ya mpaka.
MU=MILITARY UNIVERSITY.
NOTE:
Wadogo na watoto wenu vilaza musiwarusu kuja huku, mwisho mutawapa lawama bure.