Kwa kweli mzumbe najuta kuifahamu...!!

Mr.mzumbe

JF-Expert Member
Oct 11, 2011
1,014
957
Kwa kweli mzumbe maisha ni magumu sana {kitaalumu},maisha ya uku ni mchaka mchaka!!idadi ya test kwa wiki kwangu mimi naiona ni kubwa sana,yaani unakuwa mpaka na test 4 au 5 kwa wiki.
Vyuo vingine maisha kama MU au hapa kumezidi???
Ukiwa kilaza ndani ya semester moja unakuwa ushatengeneza ngoma zako nne {disko wa fail ya masomo ma 4}.
Kwakweli Mzumbe muhisikie huko huko mukiwa kwenye vijiwe vyenu vya kahawa,lakini kwa swala zima maisha lazima uwe na roho ya mpaka.
MU=MILITARY UNIVERSITY.
NOTE:
Wadogo na watoto wenu vilaza musiwarusu kuja huku, mwisho mutawapa lawama bure.
 
Wengi tumepita hapo ni mteremko, acha uvivu wewe test haziui hata ufanye 8 pa dy, piga bla bla za kutosha maisha yaende
 
Kwa kweli mzumbe maisha ni magumu sana {kitaalumu},maisha ya uku ni mchaka mchaka!!idadi ya test kwa wiki kwangu mimi naiona ni kubwa sana,yaani unakuwa mpaka na test 4 au 5 kwa wiki.
Vyuo vingine maisha kama MU au hapa kumezidi???
Ukiwa kilaza ndani ya semester moja unakuwa ushatengeneza ngoma zako nne {disko wa fail ya masomo ma 4}.
Kwakweli Mzumbe muhisikie huko huko mukiwa kwenye vijiwe vyenu vya kahawa,lakini kwa swala zima maisha lazima uwe na roho ya mpaka.
MU=MILITARY UNIVERSITY.
NOTE:
Wadogo na watoto wenu vilaza musiwarusu kuja huku, mwisho mutawapa lawama bure.

Vyuo vyote vya umma vina hinyahinya mwendomdundo. Siyo MU tu. Nenda UDSM, SUA, nk. Ukishangaa ya Musa, utayaona ya Filauni! Komaa ki-stone. Acha kuwatisha watu wakiogope Chuo Kikuu cha Mzumbe. Nini test 5 per week, watu tumewahi kufanya UE 4 per day na bado hatukuvutwa shati. Tulitoka na GPA bomba. Hamishia godoro Library.Punguza kuhudhuria mabash.
Chavallah, Gerald A.
 
hakuna kitu kama hicho! Nenda state university (udsm) uone ugumu wa maisha..huko kwingine bata tu..
 
Kwa kweli mzumbe maisha ni magumu sana {kitaalumu},maisha ya uku ni mchaka mchaka!!idadi ya test kwa wiki kwangu mimi naiona ni kubwa sana,yaani unakuwa mpaka na test 4 au 5 kwa wiki.
Vyuo vingine maisha kama MU au hapa kumezidi???
Ukiwa kilaza ndani ya semester moja unakuwa ushatengeneza ngoma zako nne {disko wa fail ya masomo ma 4}.
Kwakweli Mzumbe muhisikie huko huko mukiwa kwenye vijiwe vyenu vya kahawa,lakini kwa swala zima maisha lazima uwe na roho ya mpaka.
MU=MILITARY kweli we kilaza yani hvyo tu unaanza kulia ungekua udsm c ungeomba udisco mwnyewe... Kaza na ka vp karibu kwenye u.e ya taifa trh 23 uone maisha yalivyo
 
Kwa kweli mzumbe maisha ni magumu sana {kitaalumu},maisha ya uku ni mchaka mchaka!!idadi ya test kwa wiki kwangu mimi naiona ni kubwa sana,yaani unakuwa mpaka na test 4 au 5 kwa wiki.
Vyuo vingine maisha kama MU au hapa kumezidi???
Ukiwa kilaza ndani ya semester moja unakuwa ushatengeneza ngoma zako nne {disko wa fail ya masomo ma 4}.
Kwakweli Mzumbe muhisikie huko huko mukiwa kwenye vijiwe vyenu vya kahawa,lakini kwa swala zima maisha lazima uwe na roho ya mpaka.
MU=MILITARY kweli we kilaza yani hvyo tu unaanza kulia ungekua udsm c ungeomba udisco mwnyewe... Kaza na ka vp karibu kwenye u.e ya taifa trh 23 uone maisha yalivyo

Sasa nyie wa Udsm mnafanya UE tar 23 kwan mmesoma nini??ninavyojua mm na Uma wote wanafahamu kama semester 1 yote mulikuwa kwny harakati.Au UE ni fashion,lazima kila chuo kifanye kipindi hki eeeeh...???
 
Tatizo Mr Mzumbe unakata kiu sana na kuhudhuria vibanda vya chang'aa kule changarawe, kwanini usione maisha magumu?
 
naona kilichokuleta hapa ni ujanja ujanja tu wa kutaka kulinganisha vyuo.uliona chuo gani chenye test 5 kila wiki? kwa hiyo unataka kunambia semister nzima kila somo lina test si chini ya 10 per semister? na hizo module mnazisoma saa ngapi? coz lecture saa moja, test saa moja. we alokwambia kilaza anafika chuo kikuu nani? au shida yako kujaza tu server za JF.
 
Kwa kweli mzumbe maisha ni magumu sana {kitaalumu},maisha ya uku ni mchaka mchaka!!idadi ya test kwa wiki kwangu mimi naiona ni kubwa sana,yaani unakuwa mpaka na test 4 au 5 kwa wiki.
Vyuo vingine maisha kama MU au hapa kumezidi???
Ukiwa kilaza ndani ya semester moja unakuwa ushatengeneza ngoma zako nne {disko wa fail ya masomo ma 4}.
Kwakweli Mzumbe muhisikie huko huko mukiwa kwenye vijiwe vyenu vya kahawa,lakini kwa swala zima maisha lazima uwe na roho ya mpaka.
MU=MILITARY UNIVERSITY.
NOTE:
Wadogo na watoto wenu vilaza musiwarusu kuja huku, mwisho mutawapa lawama bure.

NYIE MNAHANGAIKA NA HUYU BURE! YEYE YUKO KWENYE PROMO YA MZUMBE NA PIA ANA KITU ANACHOHITAJI NA SI UGUMU WA SHULE YA MZUMBE. NI NANI ASIYEJUA MAZINGIRA YA MZUMBE?

KAMA TESTS KWA WIKI ZINAKUWA TANO, JE ZINAFINYIKA WIKI YA NGAPI? NA KWA SEMESTER MNAPASWA KUFANYA TESTS NGAPI? PIA UGUMU AU UBORA WA CHUO AU SHULE SI IDADI YA TESTS NDUGU YANGU BALI NI UTARATIBU MZIMA UNAOTUMIKA NA CONTENTS ZA KILE KINACHOHITAJIKA KUWA COVERED KWA SEMESTER HUSIKA. HALAFU PIA KUNA AINA NYINGI SANA ZA KUWATESTS WANAFUNZI NA SI KWA NJIA YA TESTS TU, KWANI UKITEGEMEA TESTS TU, THEN WANAFUNZI WATAISHIA KUKARIRI KWA AJILI YA TESTS NA SI KUELEWA.

MR. MZUMBE, KWASASA KUNA APPROACH NYINGI SANA AMBAZO ZINATUMIKA KUWASAIDIA WANAFUNZI ILI WAWEZE KUELEWA NA SI KUKARIRI ILI WANAPOKUWA KWENYE SHUGHULI ZAO WAWEZE KUJIAMINI NA KUFANYA KAZI VIZURI. Na ktk njia hizi, tests kuwa nyingi si njia sahihi. Shida yako kubwa ni kukosa EXPOSURE NA KUJUA NINI KINAENDELEA NJE YA MZUMBE.
 
Sasa nyie wa Udsm mnafanya UE tar 23 kwan mmesoma nini??ninavyojua mm na Uma wote wanafahamu kama semester 1 yote mulikuwa kwny harakati.Au UE ni fashion,lazima kila chuo kifanye kipindi hki eeeeh...???

UDSM INAKUPA SHIDA SANA NDUGU YANGU. NILIWAHI KUKUSHAURI KWAMBA JITAHIDI UJE USOME HATA MASTERS UDSM LABDA AKILI YAKO ITATULIA. UDSM KUFANYA UE SHIDA YAKE NINI, WALIGOMA SAWA LKN HAWAKUFUKUZWA CHUO. KUMBUKA, WALIKUWA WANAKOSA DARASA SIKU MOJA, THEN SIKU YA PILI WANAINGIA DARASANI NA MASOMO KUENDELEA KAMA KAWAIDA. KUMBUKA, KAMA WANGEGOMA SIKU 3 MFULULIZO, THEN HATA UE ISINGEKUWEPO KWASASA, KWANI WANGEFUKUZWA CHUO.

PIA, NI VIZURI CHUO KINA PROGRAMME ZAKE NA NDIYO MAANA SEMESTER INAPOANZA INAKUWA WAZI KABISA KWAMBA UE ITAANZA WIKI YA NGAPI NA HIVYO KILA MWALIMU ANAPANGA RATIBA YAKE NDANI YA MUDA ULIOPANGWA.
 
Mtu unasoma masomo ya kuimba mashairi afu bado unalia lia ovyo..na wahandisi au madocta wasemeje!
 
mzumbe masomo yao kuimba ngonjera na mashairi hata mtu aliyemaliza darasa la saba anaweza kusoma na akapata gpa ya juu tatizo lww sio msomaji
 
Ulikuwa unadhani upo Secondari? Maisha ya chuo ni kuandaliwa for all eventualities. Life sucks.
 
test nyingiiiii=elimu bora ???????????
Wazee wa Q&A ,hapo shule lazima iwe ngumu na elimu ya kulipua lipua tu coz utahitaji muda mwingi kukariri. Kama unapata concept then unasolve problem mwenyewe bila kushurutishwa na wingi wa test shule haitakuwa ngumu,ila utaelewa ku-apply ulichosoma ktk ulimwengu halisi.
 
naona kilichokuleta hapa ni ujanja ujanja tu wa kutaka kulinganisha vyuo.uliona chuo gani chenye test 5 kila wiki? kwa hiyo unataka kunambia semister nzima kila somo lina test si chini ya 10 per semister? na hizo module mnazisoma saa ngapi? coz lecture saa moja, test saa moja. we alokwambia kilaza anafika chuo kikuu nani? au shida yako kujaza tu server za JF.

Apply kama ujatengeneza sup 4 ndani ya 1st semester!!hyo ndio ukwel mkubwa!!waulize vijana waliopita MILITAry University.
 
Back
Top Bottom