Kwa kweli lazima chama chetu cdm.tuwe makini na hili.

gagonza

JF-Expert Member
Oct 18, 2009
309
98
mimi ni mwanachama wa chadema,ninatoa maoni yangu,chama lazima tue makini katika uteuzi wetu wa wagombea mbalimbali tunao wasimamisha kama kweli wana sifa stahiki? je wananchi wanawapenda au tuna walizimisha wananchi tu?
 
Mie ata si mwanachama lakini suala la chadema ktwa makini tunalisema mara kwa mara,muwe mnachukua mda kupitia cv au sifa za watu mnaowasimamisha sababu chadema kinaweza kuwa kichaka kama kilivo chama tawala kinacho angalia uwezo wa kiuchumi wa mgombea bila kuangalia uwezo katika utendaji,uzalendo na uadilifu,chadema wanajivunia kuchukua mtu ambaye amebaniwa ccm na papo hapo kumsimamisha kuwa mgombea wao pasipo kuchukua mda kumtathmini na kuanza kumuita kamanda bila kujua kuwa kuna baadhi ni wasaka madaraka tu akishayapata uanachama wake hauna kazi,kwanini kusiwe na vigezo kuwa ili uwezo kugombea lazima uwe mwanachama hai kuanzia ata mwaka mmoja ili kudhibiti wasaka madaraka kwa mda? Hivi msaada wa watu kama akina shibuda kwenye chama ni kipi zaidi!
 
Mleta mada wewe c mwanachama,uteuzi wa cdm cku zote ni makini..you play da game of devide and rule u Gambaz.INAKUWAJE GAZETI LA UHURU LIANDIKE CHADEMA HOI YAAMBULIA KATA TANO,CUF NA TLP WATESA KATA MOJA MOJA..eti 'watesa' kumbe TLP na CUF hata wakiporomoka wake zenu hawa mnawasifia
 
Sifa zipi mnazozitaka kwenu mgombea bora yule anaweza kutukana vizuri serekali na kutaja epa,richmond n.k sio yule mwenye kujielezea kwa sera
 
Mleta mada wewe c mwanachama,uteuzi wa cdm cku zote ni makini..you play da game of devide and rule u Gambaz.INAKUWAJE GAZETI LA UHURU LIANDIKE CHADEMA HOI YAAMBULIA KATA TANO,CUF NA TLP WATESA KATA MOJA MOJA..eti 'watesa' kumbe TLP na CUF hata wakiporomoka wake zenu hawa mnawasifia

yah,mnaweza mkamsema mleta mada kwa vyovyote,lakini ebu fanyieni kazi ushauri japo kwa Tanzania yetu hakuna chama kinachokubali kukosolewa na hako ndo kautamaduni ketu,inakuwaje mtu amefukuzwa leo kwenye chama chake afu kesho anakuja kwenu mnampa nafasi kugombea kwa uhai wa siku moja ya uanachama? Huyu kamwe hawezi kuwa mzalendo wa kweli wala hana machungu na chama bali anachotafuta ni maslahi binafsi leo atakua chama hiki kesho kile,kuhama chama si kosa wala dhambi lakini mtu anapohama leo na wewe ukamwamini leo hii pasipo kumpa mitihani ya kupima uzalendo wake chama cha aina hii kinaweza kupokea watu na kujiaminisha kuwa kimepata makamanda wa kukijenga kumbe wameletwa kuua chama.
 
Kuna vitu ambavyo kama Chama kinataka kuwa imara lazima kikubali kubadilika na kuambiwa ukweli pale inapoonekana inabidi.Kwa upande wangu masalia kutoka vyama vingine hayana maana.Tuchukulie mfano wa Nyimbo alikosa ubunge basi anaona sera za chama siyo nzuri nafuu za kule alikotoka.Na mwanachama yeyote anayetoka kwenye chama chochote cha siasa akaanza kukikosoa baada ya kutoka lazima ujiulize kwa nini.Cha msingi vijana wanaomaliza vyuo vikuu lazima waangalie hili kwa ajili yakuikomboa nchi yao.Wagombee nafasi za uongozi kama anauwezo na nia njema.
 
kuna vitu ambavyo kama chama kinataka kuwa imara lazima kikubali kubadilika na kuambiwa ukweli pale inapoonekana inabidi.kwa upande wangu masalia kutoka vyama vingine hayana maana.tuchukulie mfano wa nyimbo alikosa ubunge basi anaona sera za chama siyo nzuri nafuu za kule alikotoka.na mwanachama yeyote anayetoka kwenye chama chochote cha siasa akaanza kukikosoa baada ya kutoka lazima ujiulize kwa nini.cha msingi vijana wanaomaliza vyuo vikuu lazima waangalie hili kwa ajili yakuikomboa nchi yao.wagombee nafasi za uongozi kama anauwezo na nia njema.





































ni kweli watu wengi wanafuata madaraka .ni muhimu chama kuwa na sera makini.pia kujaribu kusikiliza kuwasikiliza maoni ya wadau wa sehemu husika kuwa wao wanataka mtu wa aina gani,sec hawa wakina nyimbo na huyo shibuda ni mfano mzuri kwa chama kujifunza.third ni kuwa katika chaguzi za kata zilizopita cdm wajiulize wamekosea wap?je lengo letu limetimia au ni nini tufanye kukosa kata ni indictor nzuri kuwa tujipange vp 2012
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom