Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Nasikitikia kweli matukio ya mauaji ya wananchi yanayofanywa na dola kwa kuwatumia polisi yanazidi kushika kasi na mara nyingi hakuna wanaowajibishwa. Hata hivyo lililonishtua na kunisikitisha zaidi ni kitendo wananchi watatu kupelekwa jela miaka 20 kila moja kwa hatia kuua pundamilia wakitafuta kitoweo. Kwa habari zaidi soma hapa;