engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Wana JF
kama tunakumbuka vyema baada tu ya kugundulika kuwa Mh Jairo alichangisha mamilioni ya pesa kwa ajili ya kukilimu wageni kinyume na utaratibu wa serikali, Ludovick S. L. Utouh MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI alimsafisha Mh JAIRO Na kuweka wazi kuwa hakukuwa na makosa yeyote yale aliyoyafanya Mh
kwa kuwa kamati ya bunge imemkuta na hatia Mh Jairo basi haina budi na Ludovick S. L. Utouh aka jiengua na kukaa pembeni kwa upotoshaji alioutoa
nawasilisha
kama tunakumbuka vyema baada tu ya kugundulika kuwa Mh Jairo alichangisha mamilioni ya pesa kwa ajili ya kukilimu wageni kinyume na utaratibu wa serikali, Ludovick S. L. Utouh MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI alimsafisha Mh JAIRO Na kuweka wazi kuwa hakukuwa na makosa yeyote yale aliyoyafanya Mh
kwa kuwa kamati ya bunge imemkuta na hatia Mh Jairo basi haina budi na Ludovick S. L. Utouh aka jiengua na kukaa pembeni kwa upotoshaji alioutoa
nawasilisha