afrolife
Senior Member
- Oct 27, 2009
- 154
- 102
I'm a youth, a CCM member, and one among the many victims of Jakaya's myths; infact i was on my final year (undergraduate) when this gentlemen visited the campus, and to be honest i was really turned on by him (kinda fan of him even before that day). Kutokana na ahadi zake na utendaji kazi wake katika wizara mbalimbali, nilijikuta nikimwamini sana na niliamini anaweza kuivusha Tanzania toka hapo ilipo. Bila kinyongo na kwa matumaini makubwa nikampa KURA yangu mwaka 2005!
Just to my surprise .... soon after taking the oath to the magogoni office, its only when i came to realize that i did a very serious and biggest mistake in my life ... the pandora box started to unveil itself! Mengi yamesemwa sana, naipenda sana CCM ya Kambarage, lakini pia nachukia sana mfumo wa CCM wa sasa pamoja na leadership style yake. Mambo mengi yamebadilika na viongozi hawa hawaambiliki na hawasikilizi wananchama wao kabisa! Its like wamejitengenezea mbingu yao peke yao ndani ya chama.
Mimi sio muumini wa mapinduzi nje ya chama kama wengine, naamini mabadiliko yanaweza kufanywa hata ungalipo ndani ya chama. Rais Kikwete amenivunja moyo sana, amenisononesha sana, na amenifanya nijisikie mnyonge sana ndani ya nchi yangu mama niipendayo. Nimeshakata shauri, kama chama (CCM) kitampitisha mh. Kikwete kuwa mgombea wao wa urais, basi kura yangu itaenda kwa kiongozi yeyote yule wa upinzani (hapa sitojali chama) au binafsi ambaye angalau ataonekana ana matumaini ya kutetea nchi yangu na rasilimali zake, pamoja na maslahi ya vizazi vya baadae. Nitashawishi mke wangu, wadogo zangu, rafiki zangu, jamaa zangu na ndugu zangu kutompigia huyu mheshimiwa kura ya Urais na mbunge yeyote mbovu atakayepitishwa jimboni kwangu. Ninaamini peke yangu kwa uchache sitokosa watu (kura) 20, na wengi wakifanya kama hivi basi naamini hiyo itakuwa ni adhabu tosha kwake na kwa wenzake wasiosikia vilio vyetu! Hata kama atashinda, basi si kwa kishindo tena na message itakuwa imeshakuwa delivered!
Sina nguvu ya kushindana na dola, lakini pia nina nguvu isiyoweza pokonywa na dola, nayo ni uwezo wa kuchagua mtu nimtakaye kuwa kiongozi wangu (rais, mbunge, diwani etc) kupitia KURA yangu, kwa utashi wangu! Huu si muujiza, inawezekana!!
Note: Najua wana-CCM wenzangu na wapenzi wa JK mtakuja kwa wingi kama nyigu kunipinga na kunikejeli, lakini huo ndio uamuzi wangu ... NO RETREAT!!
Just to my surprise .... soon after taking the oath to the magogoni office, its only when i came to realize that i did a very serious and biggest mistake in my life ... the pandora box started to unveil itself! Mengi yamesemwa sana, naipenda sana CCM ya Kambarage, lakini pia nachukia sana mfumo wa CCM wa sasa pamoja na leadership style yake. Mambo mengi yamebadilika na viongozi hawa hawaambiliki na hawasikilizi wananchama wao kabisa! Its like wamejitengenezea mbingu yao peke yao ndani ya chama.
Mimi sio muumini wa mapinduzi nje ya chama kama wengine, naamini mabadiliko yanaweza kufanywa hata ungalipo ndani ya chama. Rais Kikwete amenivunja moyo sana, amenisononesha sana, na amenifanya nijisikie mnyonge sana ndani ya nchi yangu mama niipendayo. Nimeshakata shauri, kama chama (CCM) kitampitisha mh. Kikwete kuwa mgombea wao wa urais, basi kura yangu itaenda kwa kiongozi yeyote yule wa upinzani (hapa sitojali chama) au binafsi ambaye angalau ataonekana ana matumaini ya kutetea nchi yangu na rasilimali zake, pamoja na maslahi ya vizazi vya baadae. Nitashawishi mke wangu, wadogo zangu, rafiki zangu, jamaa zangu na ndugu zangu kutompigia huyu mheshimiwa kura ya Urais na mbunge yeyote mbovu atakayepitishwa jimboni kwangu. Ninaamini peke yangu kwa uchache sitokosa watu (kura) 20, na wengi wakifanya kama hivi basi naamini hiyo itakuwa ni adhabu tosha kwake na kwa wenzake wasiosikia vilio vyetu! Hata kama atashinda, basi si kwa kishindo tena na message itakuwa imeshakuwa delivered!
Sina nguvu ya kushindana na dola, lakini pia nina nguvu isiyoweza pokonywa na dola, nayo ni uwezo wa kuchagua mtu nimtakaye kuwa kiongozi wangu (rais, mbunge, diwani etc) kupitia KURA yangu, kwa utashi wangu! Huu si muujiza, inawezekana!!
Note: Najua wana-CCM wenzangu na wapenzi wa JK mtakuja kwa wingi kama nyigu kunipinga na kunikejeli, lakini huo ndio uamuzi wangu ... NO RETREAT!!