Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 176
Kwa sakata la kina Jairo na usisadi wa songazi baada ya kamati ya bunge kuanika madudu yao wengi tulitegemea Rais JK angelichukua hatua mara moja kuwafukuza kazi Waziri wa nishati Ngeleja,Jairo,Luhanjo,Mkaguzi mkuu wa mahesabu na wote walioshiriki katika sakata hilo.Na kuitisha uchunguzi katika wizara zote na hatua za serikali kuchukua mkondo wake.Ushahidi uliotolewa ni tosha.Lakini cha kushangaza sasa ni siku ya nne hakuna kauli sio ya waziri mkuu wala JK,wanasubiri nini?Watu tunaanza kuhisi ya kua jeuri ya Luhanjo sio bure kwa lilotokea lilipata baraka ya JK.Hata kama JK atawajibisha hivi sasa itachuliwa ya kua si kwa nia yake bali kwa reaction na pressure ya jamii.MUNGU IBARIKI TANZANIA.