Kipipi nakusalimu....Kama ni small house, mlete nimuongezee maujuzi kabisa ili hata ukiongea na mwanamke mwingine zaidi ya mkeo unapata kichapo hevi!! Lol
Tehe, tehe, tehe!
Sasa kumbe uliunguza mboga ndo ukapigwa?
Eti walijibizana!... Kumbe Bishanga ana mdomo eeh? Mwache akomeshwe.Muulize kapigwaje na kwa misingi ipi? Pengine ye ndo alikuwa anashusha kipigo ila bahati nzuri kikamgeukia!!! Lol
Kwa hiyo hapa unataka kuuambia umma wa wana mmu kuwa Bishanga sio mwanaume?Mtu wa jinsia ya kiume anayepigwa na mkewe si MWANAUME BANA!
Nani kakudanganya? Kama haliumi Bishanga analizwa na nini?Kofi la mpenzi haliumi kaka. Mpenzi akikupiga umjibu kwa upande wa khanga yakhee. Au ulikuwa na maanisha kwamba kakupiga kwa maana ya "kupigiwa?"
hiloooooo mzushi ka asha ngedere,tena ushindwe!
ushawahi kupigwa na mkeo/gf wako? How did you react? Ulilipiza?uliuchuna? Ulimfungulia RB?uliita kikao cha wazazi? Ulifanya nini?
Ninalogoff maana leo nimetendwa and i just can't take it na aliyenitenda bahati mbaya yuko humu humu jf.
Hujafundwa wewe inaelekea eh? Au hauangalii sinema basi. Angelina Jolie na Brad Pit walianzia hapo hapo kwenye ugomvi. Kamata mama yeyoo kisha mbunye. Ebooo
Eti walijibizana!... Kumbe Bishanga ana mdomo eeh? Mwache akomeshwe.
Siwezi kupigwa na mwanamke mimi.