Kwa hiyo huwa mna log book mnarekodi mmetutandika Mara ngapi? Saw a ban a.
Mimi siamini kwenye kupigana physically kutatua matatizo. Ndo maana naamini kwenye kuachana!
Ila bishanga, my 6th sense inanitahadharisha kuna mdada humu jf unajaribu ku-justfy kitu kwake. Let's leave it for now bepari. Pole mwaya.
Si kitu cha kufumbia macho kwa kweli.. na tuache mzaha...
Babu, naheshimu busara zako. Big up!
Ila Bishanga has a serious problem, nadhani ni mara ya pili anaongelea kupigwa na mwandani wake[Q. Anahitaji kukubaliana na mwenzio kama hawawezani waende next stage kwa kweli. Physical abuse haikubaliki, hata kama umepigwa na mtoto. U will end up being violent than ur offender!
I can swear to everyone ...hata Mungu baba,
Hajapigwa mtu hapa...Kuna kitu Bishanga anakitafuta tu...
Rest assured, mshikaji anapanga mashambulizi ya kiutu uzima....!!
Babu DC!!
wanaume tufunguke bana,tukidundwa tuseme la sivyo tutakuja uawa hivi hivi,ohoooooooooo!!Aisee pole sana lakini umetukera sana sisi wenzako unatakiwa ukipigwa mwanaume hutangazi huendi polisi wara humrudishii .
Ungekaa kimya sasa unafundisha tabia mbaya na wanawake wengine wataanza kupiga wanaume wataona inawezekana.
we babu yake Lizzy,kongosho,kipipi,feisbuku,MJ1, mwali,AD,Michelle na genge zima la mafioso wa humu mmu ujue unazeeka vibaya,lol!I can swear to everyone ...hata Mungu baba,
Hajapigwa mtu hapa...Kuna kitu Bishanga anakitafuta tu...
Rest assured, mshikaji anapanga mashambulizi ya kiutu uzima....!!
Babu DC!!
Pole sana Bishanga kwa kipigo!wanaume tufunguke bana,tukidundwa tuseme la sivyo tutakuja uawa hivi hivi,ohoooooooooo!!
we babu yake Lizzy,kongosho,kipipi,feisbuku,MJ1, mwali,AD,Michelle na genge zima la mafioso wa humu mmu ujue unazeeka vibaya,lol!
we waharibu tu wajukuu zako,kuna siku mmoja wao utasikia yuko ICU,we ngoja natafuta dojo na sensei wa ukweli nianze kujifua.Haya basi Bishanga...Ngoja sasa nianze kuzeeka vizuri,
Pole kwa kudundwa ndugu yangu....nakushauri ukanunue rungu kubwa umbonde nalo kichwani...
Ila usipige medulla oblongata, ..sawa mdogo wangu??
Babu DC!!!
ndugu yangu huyu naona kazoea,kwake imekuwa ka hobby,sijui ana ka u sadist streak?Mie sijawahi kupigwa ila nishawahi kuchimbwa mkwala nikanywea kama sisimizi...............lakini niliwahi kuambiwa na wahenga kwamba mke au GF wako akikupiga unatakiwa ulie machozi yatoke kabisa kwani hiyo itakuwa ni laana na nuksi kwa mke huyo hatakaa akupige tena!
hiloooooo mzushi ka asha ngedere,tena ushindwe!Yaani anataka kutumia trick za kimafia
Ngoja nikupe analysis yangu
Kuna mtu aligonga humu
Afu huyo mtu akamtema B
Sasa B anataka round ya pili
Sasa anakuja na kisingizio cha mkewe anamtesa
Ili aonewe huruma
Akaliwazwe
He is playing dirty