Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Jamani hili mi naona kila mwanaume analo,kwa nini pindi ikitokea mwandani wako akikunyima haki ya ndoa lazima kuwe na UGOMVI either wa chini chini au live na ikitokea ukanyimwa two times au zaidi hapo lazima useme kwa nini inakuwa hivi na moyoni ukiwaza huenda amepata mwingine?Je kama mwenzio hana hiyo hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa nini huwezi muacha tu mpaka useme na kufikiria mengi namna hivyo?ni hoja tu yangu....