Kwa kina kaka wote(wanaume)

Magulumangu

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
3,047
452
Jamani hili mi naona kila mwanaume analo,kwa nini pindi ikitokea mwandani wako akikunyima haki ya ndoa lazima kuwe na UGOMVI either wa chini chini au live na ikitokea ukanyimwa two times au zaidi hapo lazima useme kwa nini inakuwa hivi na moyoni ukiwaza huenda amepata mwingine?Je kama mwenzio hana hiyo hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa nini huwezi muacha tu mpaka useme na kufikiria mengi namna hivyo?ni hoja tu yangu....
 
Jamani hili mi naona kila mwanaume analo,kwa nini pindi ikitokea mwandani wako akikunyima haki ya ndoa lazima kuwe na UGOMVI either wa chini chini au live na ikitokea ukanyimwa two times au zaidi hapo lazima useme kwa nini inakuwa hivi na moyoni ukiwaza huenda amepata mwingine?Je kama mwenzio hana hiyo hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa nini huwezi muacha tu mpaka useme na kufikiria mengi namna hivyo?ni hoja tu yangu....

Hapo kwenye red; unaweza kuthibitisha hilo? Ulishanijaribu mimi?

Kwenye blue: Unaponyimwa HAKI YAKO kama ulivosema, hupaswi kuidai?

Kwenye black: Umeolewa ili ukaimbe kwaya kwa mmeo?
 
Hapo kwenye red; unaweza kuthibitisha hilo? Ulishanijaribu mimi?

Kwenye blue: Unaponyimwa HAKI YAKO kama ulivosema, hupaswi kuidai?

Kwenye black: Umeolewa ili ukaimbe kwaya kwa mmeo?

Binamu bwana una maswali kama liafande la geshi
 
Hapo kwenye red; unaweza kuthibitisha hilo? Ulishanijaribu mimi?

Kwenye blue: Unaponyimwa HAKI YAKO kama ulivosema, hupaswi kuidai?

Kwenye black: Umeolewa ili ukaimbe kwaya kwa mmeo?

Uthibitisho ni kuvunjika kwa ndoa nyingi bila sababu....je kama mwandani wako hayuko tayari na hajisikii kufanya tendo la ndoa kwani hapaswi pia kusma leo au kesho hana hamu?hata yeye pia ana haki ya kutokujisikia kufanya hilo tendo wakati mwingine.....
...je ulipomuoa ulimaanisha ni mkeo kwa ajili ya kufanya tendo la ndoa tu?je kwako kufanya tendo la ndoa ndo inamaanisha anakupenda?tendo la ndoa hunoga endapo pande mbili husika zanashiriki kikamilifu,je kama umeforce litaitwa kweli tendo la ndoa au mchezo wa ndoa?
 
Uthibitisho ni kuvunjika kwa ndoa nyingi bila sababu....je kama mwandani wako hayuko tayari na hajisikii kufanya tendo la ndoa kwani hapaswi pia kusma leo au kesho hana hamu?hata yeye pia ana haki ya kutokujisikia kufanya hilo tendo wakati mwingine.....
...je ulipomuoa ulimaanisha ni mkeo kwa ajili ya kufanya tendo la ndoa tu?je kwako kufanya tendo la ndoa ndo inamaanisha anakupenda?tendo la ndoa hunoga endapo pande mbili husika zanashiriki kikamilifu,je kama umeforce litaitwa kweli tendo la ndoa au mchezo wa ndoa?
Dah!

Sijui ni kiswahili kinanipiga chenga au? Hapo kwenye red unasema ndoa zinavunjika BILA SABABU. Je BILA SABABU kwa lugha nyingine ni kunyimwa haki ya tendo la ndoa? Una uthibitisho wowote kuwa KUNYIMANA tendo la ndoa ndio chanzo kikuu cha kuvunjika ndoa?

Hapo kwenye blue: Kama si tendo la ndoa kwanini hatuwaoi dada zetu? Kwa sababu hujui, ngoja nikusaidie kidogo. Sababu kuu ya kwanza kabisa ya watu kuoana ni KUMEGANA KIJUMLA NA KIHALALI!
 
Hapo kwenye red; unaweza kuthibitisha hilo? Ulishanijaribu mimi?

Kwenye blue: Unaponyimwa HAKI YAKO kama ulivosema, hupaswi kuidai?

Kwenye black: Umeolewa ili ukaimbe kwaya kwa mmeo?


Kwisha......! Umemaliza...........! Kwani wao mimi mwanaume nikiwa sitimizi hata kwa kipindi fulani tu, tayari sababu za kumtafuta msaidizi! Kama hataki hayo akubali mke mwenza...! Otherwise, no comment any more.
 
Tendo la ndoa ni kuridhiana ili mkikamilisha kila mtu anamshukuru mwenzie na kufurahiaaa.....utajisikiaje iwapo unamdandia mwenzako huku amenunua siyo kama ulivyozoea??? utasema katembea nje ya ndoa kumbe ni muhemko wako tuuuu
 
Uthibitisho ni kuvunjika kwa ndoa nyingi bila sababu....je kama mwandani wako hayuko tayari na hajisikii kufanya tendo la ndoa kwani hapaswi pia kusma leo au kesho hana hamu?hata yeye pia ana haki ya kutokujisikia kufanya hilo tendo wakati mwingine.....
...je ulipomuoa ulimaanisha ni mkeo kwa ajili ya kufanya tendo la ndoa tu?je kwako kufanya tendo la ndoa ndo inamaanisha anakupenda?tendo la ndoa hunoga endapo pande mbili husika zanashiriki kikamilifu,je kama umeforce litaitwa kweli tendo la ndoa au mchezo wa ndoa?

Rudi nyumbani ukawaulize wazazi/walezi wako nini maana ya ndoa, mengine ni mapambo tu. Kwa hili mi naona ndoa yako iko njiani kuvunjika, jihadhari tafadhali.
 
Ukweli ni kwamba, MWANAMKE HANA MAMLAKAJUU YA MWILI WAKE. NA WEWE NI HIVYO HIVYO. Anapokunyima, lazima kuna sababu ya msingi. Kama sio ya msingi ndipo maswali huanzia hapo.
 
Rudi nyumbani ukawaulize wazazi/walezi wako nini maana ya ndoa, mengine ni mapambo tu. Kwa hili mi naona ndoa yako iko njiani kuvunjika, jihadhari tafadhali.

Well said kiongozi! Now she can read it again and again!
 
Hahaha sasa hapa sijui ni nini kinaongelewa maana si inajulikana wazi wazi kwamba si unatakiwa pigania haki zako kwa njia yoyote unayoona inafaa ama?
 
Ukweli ni kwamba, MWANAMKE HANA MAMLAKAJUU YA MWILI WAKE. NA WEWE NI HIVYO HIVYO. Anapokunyima, lazima kuna sababu ya msingi. Kama sio ya msingi ndipo maswali huanzia hapo.
mmhhh kazi ipo... sasa hii sio ndoa ila karaha.... making love suppose to be enjoyable for both...sio mambo ya mamlaka sasa
hapo utamiliki vipi mwili wa mwemzio.... na kama mwanamke ana headache or stomach ache or not in mood... utamlazimisha? i thought mwanaume ana enjoy zaidi akimuona mwanamke ana enjoy...:rolleyes:
 
mmhhh kazi ipo... sasa hii sio ndoa ila karaha.... making love suppose to be enjoyable for both...sio mambo ya mamlaka sasa
hapo utamiliki vipi mwili wa mwemzio.... na kama mwanamke ana headache or stomach ache or not in mood... utamlazimisha? i thought mwanaume ana enjoy zaidi akimuona mwanamke ana enjoy...:rolleyes:
Noname mambo?

Nimekumisi upeo.
 
Haifai kukasirika au kuzua ugomvi ukinyimwa sababu;
1.Inawezekana kabisa wakati huo hayupo tayari kuna kitu kinamsumbua kichwani,WANAUME TUSIWE WABINAFSI.mtu hataki unalazimisha,si kubaka huko?
wala usimuulize kwa nini hataki, endelea na mambo mengine,piga push up kama 100 hivi ruka kichura chura ,abdala kichwa wazi atalala,na kama alikuwa anakutest akikuona unavyohangaika kumtuliza jamaa,utasikia akisema'basi njooooo'. eeeeh mwanangu,Taratiiibu mzee mwenzangu unaingia bafuni,unaoga ukitoka huko kazi moja.
2.Raha ya mapenzi ni pale mwanamke anapohitaji,mara afanye kituko hiki mara hivi,
au akueleza live kuwa sasa nataka,sasa hapo jamaa yangu wala usipoteze muda,
kazi moja tu..............
3.Inawezekana kabisa,labda shauri ya joto kuna viupele au mchubuko fulani,eeeeh
hadi akuambie,we unataka tu,hayomapenzi......au mateso.
4.Ila akigoma mfululizo zaidi ya wiki moja hapo sasa omba akupe sababu.
5.Ile mikambaku na mibeberu huwapanda ng'ombe na mbuzi wakati wako kwenye heat tu.
usikasirike wala usimlazimishe kama mwenzio hataki.wala huta faidi.
 
kwa nini pindi ikitokea mwandani wako akikunyima haki ya ndoa lazima kuwe na UGOMVI either wa chini chini au live na ikitokea ukanyimwa two times au zaidi hapo lazima useme kwa nini inakuwa hivi na moyoni ukiwaza huenda amepata mwingine?Je kama mwenzio hana hiyo hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa nini huwezi muacha tu mpaka useme na kufikiria mengi namna hivyo?ni hoja tu yangu....

Hebu vaa viatu vyetu; Wewe uwe ndio Mama; hujamegwa na mumeo kipenzi kwa zaidi ya miezi 2; bila ya sabau yoyote hajakutamkia kukhitaji kimapenzi licha wewe kumweka katika hlai hiyo; yaani unamvalia khanga moja; unamkalia mikao ya kihasara ili mradi unajaribu kuzivuta hisia zake zote lakini wapi no responce! Unavumilia na baadayeunajitutumua kumuuuliza Mumeo mpenzi huku umemkumbatia; anakujibu kuwa anachaoka sana siku hizi; kumbuka hiyo Jumamosi usiku na alishinda home karibu siku nzima! Isitoshe leo kichwa kinamuuma na ahajisikii; wewe uko hoi yaani unatamani hakata akuingize kidole chake tu ufike kileleni lakani anakujibu kukutimizia wewe peke yako si sawa usubiri hadi naye ajisikie........unauliza lini...anadai atakuambia na anageukia upande mwingine dk 2 baadaye anakoroma!

Nakuapia hapatalalika hapo; Mumeo wa ndoa akufanyie hayo?:mad:

mmhhh kazi ipo... sasa hii sio ndoa ila karaha.... making love suppose to be enjoyable for both...sio mambo ya mamlaka sasa
hapo utamiliki vipi mwili wa mwemzio.... na kama mwanamke ana headache or stomach ache or not in mood... utamlazimisha? i thought mwanaume ana enjoy zaidi akimuona mwanamke ana enjoy...
Mnatutesa sana wake zetu; na hii nasemea wanawake wote wenye maamuzi na majibu kama haya kwa waume zenu! You are simply driving us to the wall na nikishafika huko basi wewe subiri retaliation yangu coz am Mad like hell!

Hell Yeah! kwa nini nisianzishe ugomvi; umenivalia pedi wiki tatu eti damu zinatoka kidogo kidogo! Jamani wiki 3 hebu tusaidieni wataalamu hapa! Na siku utakayokuwa safi eti unaumwa kichwa mara sijui mshono kwa wale mliojifungua kwa operesheni! AAAAAAAAARGH!

Lazima mwelewe kuwa Sex in Marriage ndio top most satisfaction; ndio NDOA hayo mengine yanajengewa na msingi huo sasa kama hili halitimizwi kwa sababu zisizo za kimsingi lazima hiyo ndoa ina kasoro!
 
Haifai kukasirika au kuzua ugomvi ukinyimwa sababu;
1.Inawezekana kabisa wakati huo hayupo tayari kuna kitu kinamsumbua kichwani,WANAUME TUSIWE WABINAFSI.mtu hataki unalazimisha,si kubaka huko?
wala usimuulize kwa nini hataki, endelea na mambo mengine,piga push up kama 100 hivi ruka kichura chura ,abdala kichwa wazi atalala,na kama alikuwa anakutest akikuona unavyohangaika kumtuliza jamaa,utasikia akisema'basi njooooo'. eeeeh mwanangu,Taratiiibu mzee mwenzangu unaingia bafuni,unaoga ukitoka huko kazi moja.
2.Raha ya mapenzi ni pale mwanamke anapohitaji,mara afanye kituko hiki mara hivi,
au akueleza live kuwa sasa nataka,sasa hapo jamaa yangu wala usipoteze muda,
kazi moja tu..............
3.Inawezekana kabisa,labda shauri ya joto kuna viupele au mchubuko fulani,eeeeh
hadi akuambie,we unataka tu,hayomapenzi......au mateso.
4.Ila akigoma mfululizo zaidi ya wiki moja hapo sasa omba akupe sababu.
5.Ile mikambaku na mibeberu huwapanda ng'ombe na mbuzi wakati wako kwenye heat tu.
usikasirike wala usimlazimishe kama mwenzio hataki.wala huta faidi.


Kwani nilipokabidhiwa "niliazimwa" au "nilipewa"? Kama nilipewa, basi ni haki yangu..........! Hata nikipewa mara moja na kunyimwa ya pili (on the same day/night), lazima sababu pia niipate kwamba kwanini moja leo, na sio 2, 3, 4...... Sembuse siku nzima? Kwanini nisijue kinachoisibu sehemu ya mwili wangu? Hata kama ni vipele, si mimi wa kuweka dawa kama inahitajika? Mimi naona una lako bana.....!
 
Mnatutesa sana wake zetu; na hii nasemea wanawake wote wenye maamuzi na majibu kama haya kwa waume zenu! You are simply driving us to the wall na nikishafika huko basi wewe subiri retaliation yangu coz am Mad like hell!

Hell Yeah! kwa nini nisianzishe ugomvi; umenivalia pedi wiki tatu eti damu zinatoka kidogo kidogo! Jamani wiki 3 hebu tusaidieni wataalamu hapa! Na siku utakayokuwa safi eti unaumwa kichwa mara sijui mshono kwa wale mliojifungua kwa operesheni! AAAAAAAAARGH!

Lazima mwelewe kuwa Sex in Marriage ndio top most satisfaction; ndio NDOA hayo mengine yanajengewa na msingi huo sasa kama hili halitimizwi kwa sababu zisizo za kimsingi lazima hiyo ndoa ina kasoro!
aha kweli bana wiki 3 is too much... I was talking about one to 3 days.... that kind of woman is either very cold au anataka kukukomoa... u know what am saying?
 
Back
Top Bottom