Kwa kina kaka wenzangu wa JF.....

Makaka sometimes inabidi nasi mara moja moja tuwe tunayatia mapenzi chachu hata kwa kufanya kakitu kadogo kuonyesha kuwa unamsaidia wife. Sio unakuta kaka mwingine yeye anachojua ni kufanyiwa tu kila kitu mfano:

1. Unaamka asubuhi unamuamsha wife akakuwekee maji kwenye ndoo (na yanatoka bombani na ni master bedroom)
2. Akuwekee dawa ya meno kwenye mswaki (asipoweka utaoga kisha utatoka kuja kuulizia mswaki wako)
3. Unatoka bafuni (hapo utakuta pant yako umeivua umeitupia kwenye sink unasubiri aje aifue!)
4. Ukitoka alishakupigia pasi, alishabrashi viatu unavaa, unakunywa chai alokuandalia kisha huyooo funguo za gari zi wapi na ukifika ndani ya gari ni honi mtindo mmoja anakuchelewesha, na asipokimbia na viatu mkononi unamuacha anakwenda ofisini kwa daladala au akifanikiwa kuingia kwenye gari basi utamsema njia nzima.

MCHANA KUTWA HATA KUMPIGIA SIMU YA SALAMU AU SMS YA I MISS YOU!

5. Ukirudi jioni ukute chai yako mezani na maji bafuni
6. Utizame TV huku ukisubiri chakula au usome magazeti yako
7. Ukishakula huyooo kitandani unalala huku ukisubiri yeye aje ashushe neti na kukufunika shuka!
8. Aingie kitandani baada ya kumaliza kazi zake umdake tayari kwa chakula cha usiku.

Life continues.......!

Kwa style hii kweli unategemea mkeo atakuwa na mapenzi na wewe? Si atajihisi hana tofauti na huyo housegirl jamani!

Mara moja moja ukimsaidia kushusha net au hata kumpigia na yeye pasi I tell you ataikumbuka kwa muda mrefu na moyo wake kukongwa vilivyo!!

Tafakari, kama imekutachi chukua hatua......!
...Ambassodor, vipi ndio harakati za kuelekea kutangaza nia nini?? Maana utapopita kutangaza kama ubavu wako haupo karibu wapiga kura wanakuona kama msela fulani tu.....haya changamoto nzuri mzee wa macho!!!
 
Mtoa mada kazidisha chumvi. Hakuna mwanaume wa aina hiyo. Hata kuwekewa dawa kwenye mswaki?
 
I think this scenario is a bit on the extreme side, hasa kwa points 1, 2,4 and 7 ambazo mwanaume anaweza kuzifanya mwenyewe kirahisi tu bila kuhitaji kufanyiwa na mkewe.
 
mke wangu anafanya 1% ya hayo. yaani msosi akipenda kunipikia na chakula cha usiku kama tukikubaliana kupeana. tumeishi hivi fo the past 10 years. Gari nimemwachia yeye mimi natumia pikipiki. But we are ok kwa sababu kila mtu anaenjoy kivyake.
 
Well. Inategemea unaishi ktk mazingira gani. Hivi ni vitu vidogo sana ndani ya nyumba na sio issue sana kwa mtizamo wangu. Kama house maid yupo hivyo viatu, kupiga pasi nk lazima mama afanye?

Mume ndie mwezeshaji wa yote kuanzia chakula, ada za watoto , matibabu , na gharama za familia kwa ujumla .Msaada anaoupata kwa mama na maid wake ni appreciation kwa jasho loote analotoka kuwaweka walivyo.

Sasa kama baba nae ataanza kuchemsha maji ya kuogea jikoni , apige pasi, adeki nyumba n.k what will be the the woman responsibility in the family?

Hayo mambo mengine ni ya kuiga tu na ambayo nao yamewashinda. Too theoretical to be precise. A good wife won't let the husband to do house chores. A just married couple may think that is a sign of love, in my opinion it is rather the opposite .

Nadhani mwanzilishi wa thread alikuwa ana ongelea kusaidia kwa maana mke anazidiwa na shughuli kama scenerio aliyoiweka yeye,sidhani kama ni kuiga ila ni kusaidiana maana kama wote mna toka kwenda kazini na kurudi wote wote mnasaidiana ktk kungeza pato la familia so ni vema mkasaidiana na research zimeonyesha inaongeza upendo ni sex life too.
Ila pia kama nimekuelewa vizuri ww umechukulia kwa mke ambaye anashinda nyumbani,of course kwa anayeshinda nyumbani hana budi kukusaidia kwa hayo yaliyo nenwa.Na wake wangine wanapenda sana kufanya maandalizi hayo kwa wame zao .
So inategemeana mke ni mama wa nyumbani au nae ni mfanyakazi.
 
Makaka sometimes inabidi nasi mara moja moja tuwe tunayatia mapenzi chachu hata kwa kufanya kakitu kadogo kuonyesha kuwa unamsaidia wife. Sio unakuta kaka mwingine yeye anachojua ni kufanyiwa tu kila kitu mfano:

1. Unaamka asubuhi unamuamsha wife akakuwekee maji kwenye ndoo (na yanatoka bombani na ni master bedroom)
2. Akuwekee dawa ya meno kwenye mswaki (asipoweka utaoga kisha utatoka kuja kuulizia mswaki wako)
3. Unatoka bafuni (hapo utakuta pant yako umeivua umeitupia kwenye sink unasubiri aje aifue!)
4. Ukitoka alishakupigia pasi, alishabrashi viatu unavaa, unakunywa chai alokuandalia kisha huyooo funguo za gari zi wapi na ukifika ndani ya gari ni honi mtindo mmoja anakuchelewesha, na asipokimbia na viatu mkononi unamuacha anakwenda ofisini kwa daladala au akifanikiwa kuingia kwenye gari basi utamsema njia nzima.

MCHANA KUTWA HATA KUMPIGIA SIMU YA SALAMU AU SMS YA I MISS YOU!

5. Ukirudi jioni ukute chai yako mezani na maji bafuni
6. Utizame TV huku ukisubiri chakula au usome magazeti yako
7. Ukishakula huyooo kitandani unalala huku ukisubiri yeye aje ashushe neti na kukufunika shuka!
8. Aingie kitandani baada ya kumaliza kazi zake umdake tayari kwa chakula cha usiku.

Life continues.......!

Kwa style hii kweli unategemea mkeo atakuwa na mapenzi na wewe? Si atajihisi hana tofauti na huyo housegirl jamani!

Mara moja moja ukimsaidia kushusha net au hata kumpigia na yeye pasi I tell you ataikumbuka kwa muda mrefu na moyo wake kukongwa vilivyo!!

Tafakari, kama imekutachi chukua hatua......!

Ujumbe umefika...Ubarikiwe sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom