Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Aisee NIKIWA NIMESHIKA KAMERA MKONONI Ningeenda kuwasalimia hlf nakaa meza ya jirani kabisa na wao nampigia mkewake namwambia ninamaongezi na yy atafte mda tuonane. Then nanyanyuka naishia
<br />mi naona bora kupiga kimya....ili kunusuru ndoa ya watu....na kuepusha uadui....
<br />Aisee NIKIWA NIMESHIKA KAMERA MKONONI Ningeenda kuwasalimia hlf nakaa meza ya jirani kabisa na wao nampigia mkewake namwambia ninamaongezi na yy atafte mda tuonane. Then nanyanyuka naishia
Una shosti wako mpenzi; wote mmeolewa na mnaishi vizuri na waume zenu!
Kutokana na ukaribu wenu, waume zenu wamejikuta na ukaribu fulani.
Umepata safari ya kikazi nje ya mji, na umepata room katika hotel nzuri tu! Jioni umekaa kwenye balcony unaangalia chini kwenye garden unamuona mume wa shosti wako na msichana mwingine wakula dinner na mishumaa ikiwaka huku wanashikana mikono kwa mahaba! Moyo ukakulipuka; ukaamua kuchukua camera, akazoom na kuwapiga. Baadaye wakaamka na kuelekeanda ndani (hotelini).
Kumbuka mwanamume hajampa shosti wako reason ya kumdoubt! Maelewano yao ni mazuri tu, kama yalivyo ya kwako!
What is the right thing to do? Both morally and logically?
Una shosti wako mpenzi; wote mmeolewa na mnaishi vizuri na waume zenu!
Kutokana na ukaribu wenu, waume zenu wamejikuta na ukaribu fulani.
Umepata safari ya kikazi nje ya mji, na umepata room katika hotel nzuri tu! Jioni umekaa kwenye balcony unaangalia chini kwenye garden unamuona mume wa shosti wako na msichana mwingine wakula dinner na mishumaa ikiwaka huku wanashikana mikono kwa mahaba! Moyo ukakulipuka; ukaamua kuchukua camera, akazoom na kuwapiga. Baadaye wakaamka na kuelekeanda ndani (hotelini).
Kumbuka mwanamume hajampa shosti wako reason ya kumdoubt! Maelewano yao ni mazuri tu, kama yalivyo ya kwako!
What is the right thing to do? Both morally and logically?
<br />
<br />
Wapi? In case ni kwa shoste, wakigombana na kuachana huwezi kufeel guilty?
wanaadam tunapenda kujishughulisha na yasotuhusu.....una uhakika ulichoona ndicho!!!
<br />wanaadam tunapenda kujishughulisha na yasotuhusu.....una uhakika ulichoona ndicho!!!
na akijaribu tu...mchuzi umeingia mende.hata kama ndicho
swali hapa una uhakika rafiki yako atafurahia wewe kujua jambo baya kuhusu mumewe????????
inawezekana huyo rafiki yako anajua mengi kuhusu mumewe but anatengeneza tu the perfect the image kwako
na kwa wengine.......unahisi unamsaidia kumbe ndo unaharibu kila kitu....atakuchukia kwa kugundua hilo....
peleka picha
Una shosti wako mpenzi; wote mmeolewa na mnaishi vizuri na waume zenu!
Kutokana na ukaribu wenu, waume zenu wamejikuta na ukaribu fulani.
Umepata safari ya kikazi nje ya mji, na umepata room katika hotel nzuri tu! Jioni umekaa kwenye balcony unaangalia chini kwenye garden unamuona mume wa shosti wako na msichana mwingine wakula dinner na mishumaa ikiwaka huku wanashikana mikono kwa mahaba! Moyo ukakulipuka; ukaamua kuchukua camera, akazoom na kuwapiga. Baadaye wakaamka na kuelekeanda ndani (hotelini).
Kumbuka mwanamume hajampa shosti wako reason ya kumdoubt! Maelewano yao ni mazuri tu, kama yalivyo ya kwako!
What is the right thing to do? Both morally and logically?
Tuma picha kwa EMS kwa mkewe na yeye mwenyewe hawatajua kama ni nani katuma lakini shoga yako atakuwa aware of type of husband she has. Uzuri si hajakuona. Hawezi jua nani katuma na itamsumbua kwani anaweza hata fikiri ni ijumaa wikienda. Afu andika meseji kuwa wewe ni jamaa wa huyo mdada na kama anataka kufa aendelee kutembea na demu wako.
Ila nakushauri hiyo siri usimwambie hata mumeo kwani atakushauri kiume ume; kwa nia ya kumlinda mshikaji.
sasa ulipiga za nini?you can't eat ur cake and have it.....
Morally... Unamfuata Shemejio na kumwambia hujapendezewa na kumuuliza sababu za msingi za yeye kufanya hivo... Kisha kumuomba aache mara moja.... Logically yeye na mkewe wanaishi vizuri (umesema hajampa sababu ya ku doubt); hakuna haja ya kumwambia rafikiyo; zaidi ya kumkoamalia shemeji huyo kukoma tabia hiyo....