Mom JF-Expert Member Oct 13, 2009 708 29 Apr 18, 2011 #2 kama unamnyonyesha mtoto ni normal kabisa kuna wengine hukaa hata zaidi ya mwaka. lakini usisahau kutumia kinga unaweza kuconceive pia
kama unamnyonyesha mtoto ni normal kabisa kuna wengine hukaa hata zaidi ya mwaka. lakini usisahau kutumia kinga unaweza kuconceive pia
Mom JF-Expert Member Oct 13, 2009 708 29 Apr 18, 2011 #3 kama unamnyonyesha mtoto ni kawaida kuna wanaokaa hata zaidi ya mwaka, lakini usisahau kutumia kinga kwani unaweza kuconceive.
kama unamnyonyesha mtoto ni kawaida kuna wanaokaa hata zaidi ya mwaka, lakini usisahau kutumia kinga kwani unaweza kuconceive.
Ennie JF-Expert Member Jan 15, 2011 7,137 4,122 Apr 20, 2011 Thread starter #6 Mom said: kama unamnyonyesha mtoto ni normal kabisa kuna wengine hukaa hata zaidi ya mwaka. lakini usisahau kutumia kinga unaweza kuconceive pia Click to expand... Ahsante mom na hapo kwenye kinga ndio penye tatizo maana huwa natumia calenda sasa inaniwia vigumu sana .
Mom said: kama unamnyonyesha mtoto ni normal kabisa kuna wengine hukaa hata zaidi ya mwaka. lakini usisahau kutumia kinga unaweza kuconceive pia Click to expand... Ahsante mom na hapo kwenye kinga ndio penye tatizo maana huwa natumia calenda sasa inaniwia vigumu sana .
Nyamayao JF-Expert Member Jan 22, 2009 6,966 2,350 Apr 20, 2011 #7 Ennie said: Ahsante mom na hapo kwenye kinga ndio penye tatizo maana huwa natumia calenda sasa inaniwia vigumu sana . Click to expand... ni ngumu sana kutumia kalenda kwenye hiyo hali dear coz hujui cku wala saa....
Ennie said: Ahsante mom na hapo kwenye kinga ndio penye tatizo maana huwa natumia calenda sasa inaniwia vigumu sana . Click to expand... ni ngumu sana kutumia kalenda kwenye hiyo hali dear coz hujui cku wala saa....
Ennie JF-Expert Member Jan 15, 2011 7,137 4,122 Apr 20, 2011 Thread starter #8 Nyamayao said: ni ngumu sana kutumia kalenda kwenye hiyo hali dear coz hujui cku wala saa.... Click to expand... Mwenzangu! Kama unatupa mawe kizani vile!
Nyamayao said: ni ngumu sana kutumia kalenda kwenye hiyo hali dear coz hujui cku wala saa.... Click to expand... Mwenzangu! Kama unatupa mawe kizani vile!