Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Mkuu wangu kauli kama hiyo ya kutenganisha umoja wetu ni ngumu kusahulika.
Hivi kiasi CCM wanavyoichukia CDM na wanachama wake huu umoja upi unaouzungumzia? Acha ya CDM mbona nyinyi wenyewe mnatafunwa na makundi ndani yenu umoja upi mlionao? Acha hilo JK alifanya kampeni misikitini kwa misingi ya udini hapa Arusha kuelekea uchaguzi wa 2010 na kuwakandia wasio waislamu huo ndio umoja?
Nakushauri usidandie mijadala kwa mbele kama unadandia gari moshi kwa mbele kwa ajili ya njaa utateketekea tutakosa hata maiti ya kuistiri.