Ronn M
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 1,279
- 683
Kuhusu Radio Imani ni wazi inachoche vurungu nchini
Mkulu na IGP ni wa crew hiyo hiyo, hawawezi kuishtaki hiyo, sasa subiri kama ingekuwa ni Wapo
FM!
Kuhusu Radio Imani ni wazi inachoche vurungu nchini
Mbona Zanzibar inataka kujitenga na wala hakuna anaekamatwa? au Zanzibar sio sehemu ya Tanzania?
Mbona Zanzibar inataka kujitenga na wala hakuna anaekamatwa? au Zanzibar sio sehemu ya Tanzania?
Ngongo,
Sina ugomvi na Dogo Janja ila akiteleza lazima tumwambie ha ha ha.
Grow up man kuomba msamaha si lazima uone neno samahani au naomba radhi.Joshua Nassari acha kutuzuga kubali ulimi uliteleza omba msamaha waTanzania.
... Hata hivyo, Mwenyekiti wangu wa Taifa alitoa ufafanuzi siku ileile kuhusu badhi ya mambo ambayo yangeweza kulete utata, napenda ifahamike kwamba alichokisema Mwenyekiti ndio msimamo wangu ....
japo inauma lakini NASSAri amedhihirisha siasa hajui anakurupuka ili kujipatia popularity ya kijingatu
ni mwehu mwendawazimu anaepaswa kupuuzwa kwa nguvu zote
baadae atakuja na ukanda, udini na ukabila
walionzisha hiyo movement wote wamekamatwa! Na kesi inaendelea. Nasarri by this time ingetakiwa awe rumande
Kama vipi hulitaki basi toa lako tulione.Yaani unataka kusema huoni tofauti ya Meru na Zanzibar ktk Tanzania?
Naona mtu anamkimbiza kichaa uchi, baada ya kichaa kuchukua nguo zake!
Nahisi hili tamko limetolewa na wabaya wake, ili kuendelea kumchafua! Kwanini asiombe radhi hata kwa wanachadema waliopata usumbufu wa kuitafsiri kauli yake?
Kama ni tamko la Nassari, amechemka tena! Lakini bado ana nafasi!
Mungu wetu anaita!
Msamaha wa nini.RIZ ONE aliesema rais hatatoka kaskazini kwanza atiwe mbaroni zandiki yule.! Inaniuma wezi wanaachwa wanaonewa wanaotoa civil education.AKAMATWE ismail jussa ladhu..shit
Kwa hivyo Kumbe ni kweli nia iPo ya kujitenga? Basi hana haja ya kuomba msamaha.Mbona Zanzibar inataka kujitenga na wala hakuna anaekamatwa? au Zanzibar sio sehemu ya Tanzania?
Kwahiyo kumbe hili tamko la Nasarri alilolita hapa crashwise ni umbea??? Ngoja niondoke tu kwenye hii thread cuz ni ya kimbea!!Threads za umbea na ushabiki wa kukurupuka Rejao anazipenda sana,kwa nini usijunge na bendi mojawapo ya taarabu? pele kwa mzee Yusuph paweza kuwa mahali sahihi
sasa Nassari si ungesema tu huo msimamo wako, kuliko kusema "alichosema mwenyekiti ndio msimama wangu" !! Wengine hatukumsikia mwenyekiti wako. Hautakuwa tofauti na wale wanaoamka usingizini na kusema "naunga mkono hoja", akiulizwa hoja gani, atakuambia "hiyo iliyokuwa inajadiliwa". Funguka waziwazi, wengine tupo CHADEMA lakini hatupo huko kaskazini, tuambie nafasi yetu basi![/LEFT]
[/CENTER]