Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Hawa jamaa wameweka wazi wanachokitaka na hakuna shaka kuwa uamsho ni taasisi ya kidini inayofanya siasa za kuikomboa Zanzibar.
Haya yako kwenye aya ya mwisho ya taarifa yao kwa vyombo vya habari waliyoitoa leo. inayosema...
"Jumuiya na Taasisi
za Kiislamu zinapenda
ifahamike kwamba,
inatoa na kupaza sauti ya
ukombozi wa Zanzibar kwa
njia za amani bila
ya kutumia nguvu za silaha
bali kwa kutumia nguvu za
hoja na
inaendesha harakati zake hizo za ukombozi juu ya
misingi ya sheria za
nchi na katiba.
Hivyo basi, wananchi wa Zanzibar kudai uhuru wakujiamulia mambo yetu ni haki yetu ya msingi, na
kwa hilo HATUNA MJADALA (MPAKA
TUTAKAPOIPATA NCHI YETU INSHA-ALLAH), tutaendelea
kudai haki zetu kwa
kila hali bila ya kuvunja sheria za nchi. Tunasisitiza kuendelea na
kuidai Zanzibar yetu huru ingawa tunaelewa
gharama ya kufanya hivyo ni kubwa ikiwemo
kupoteza roho zetu na mali zetu.
Na tunatamka wazi
yakwamba tumechoka na
ukoloni wa watanganyika
wachache wasioitakia
mema Tanganyika na
Zanzibar.
Tutaidai nchi yetu kwa gharama yoyote mpaka kuipata Zanzibar yetu
huru."
Haya yako kwenye aya ya mwisho ya taarifa yao kwa vyombo vya habari waliyoitoa leo. inayosema...
"Jumuiya na Taasisi
za Kiislamu zinapenda
ifahamike kwamba,
inatoa na kupaza sauti ya
ukombozi wa Zanzibar kwa
njia za amani bila
ya kutumia nguvu za silaha
bali kwa kutumia nguvu za
hoja na
inaendesha harakati zake hizo za ukombozi juu ya
misingi ya sheria za
nchi na katiba.
Hivyo basi, wananchi wa Zanzibar kudai uhuru wakujiamulia mambo yetu ni haki yetu ya msingi, na
kwa hilo HATUNA MJADALA (MPAKA
TUTAKAPOIPATA NCHI YETU INSHA-ALLAH), tutaendelea
kudai haki zetu kwa
kila hali bila ya kuvunja sheria za nchi. Tunasisitiza kuendelea na
kuidai Zanzibar yetu huru ingawa tunaelewa
gharama ya kufanya hivyo ni kubwa ikiwemo
kupoteza roho zetu na mali zetu.
Na tunatamka wazi
yakwamba tumechoka na
ukoloni wa watanganyika
wachache wasioitakia
mema Tanganyika na
Zanzibar.
Tutaidai nchi yetu kwa gharama yoyote mpaka kuipata Zanzibar yetu
huru."