Kwa kauli hizi hakika uamsho wanaitaka Zanzibar yao.

Dec 11, 2010
3,321
6,328
Hawa jamaa wameweka wazi wanachokitaka na hakuna shaka kuwa uamsho ni taasisi ya kidini inayofanya siasa za kuikomboa Zanzibar.

Haya yako kwenye aya ya mwisho ya taarifa yao kwa vyombo vya habari waliyoitoa leo. inayosema...

"Jumuiya na Taasisi
za Kiislamu zinapenda
ifahamike kwamba,
inatoa na kupaza sauti ya
ukombozi wa Zanzibar kwa
njia za amani bila
ya kutumia nguvu za silaha
bali kwa kutumia nguvu za
hoja na
inaendesha harakati zake hizo za ukombozi juu ya
misingi ya sheria za
nchi na katiba.

Hivyo basi, wananchi wa Zanzibar kudai uhuru wakujiamulia mambo yetu ni haki yetu ya msingi, na
kwa hilo HATUNA MJADALA (MPAKA
TUTAKAPOIPATA NCHI YETU INSHA-ALLAH), tutaendelea
kudai haki zetu kwa
kila hali bila ya kuvunja sheria za nchi. Tunasisitiza kuendelea na
kuidai Zanzibar yetu huru ingawa tunaelewa
gharama ya kufanya hivyo ni kubwa ikiwemo
kupoteza roho zetu na mali zetu.

Na tunatamka wazi
yakwamba tumechoka na
ukoloni wa watanganyika
wachache wasioitakia
mema Tanganyika na
Zanzibar.
Tutaidai nchi yetu kwa gharama yoyote mpaka kuipata Zanzibar yetu
huru."
 
Sasa wanamdai nani hiyo nchi yao ilhali wana viongozi wao waliopo kwenye serikali ya Muungano? Wakiwa kitu kimoja na Serikali yao wenyewe ya Umoja wa Kitaifa watatoka kwenye Muungano hata kesho. THE BALL IS ON THEIR SIDE, waache kuuzunguka mbuyu na kutukashifu sisi kwa uroho wa viongozi wao. Ifike mahali Wazanzibari waelewe kuwa Watanganyika wengi hatufaidiki kwa vyovyote vile na uwepo wao kwenye Muungano. Wametuulia nchi yetu tumenyamaza, wameitawala Tanganyika kwa MIAKA KUMI (uongozi wa awamu ya Pili) tulinyamaza. Leo wanatutukana kana kwamba tunafaidika sana na huu Muungano. Shime Wazanzibari unganeni na viongozi wenu mjitoe hata kesho. Kama mlifikiri tunatolea macho uto tumafuta twenu hata kwetu yapo, na mkitaka tuwapunguzia kama tulivyofanya kwenye Umeme. For the records, Tanganyika is the land of Abundances. We are the last country to fight for Natural Resources whatsoever. I hope one day UAMSHO will get these hard facts. Enough is Enough, Let Zanzibar GO!
 
Janjaweed vs uamsho! Patachimbika! Tg yetu macho maana mtoto akililia wembe mpe!
 
Wakatoliki waliofanya NECTA parokia? Wanawachachulia mitihani mjione mpo juu ndio maana nchi imejaza mafisadi na makanjanja kama wewe!

Elimu ni pamoja na upeo wa kuangalia mambo! Namna wewe unavyoangalia mambo hata NECTA wakikupa A+ utapwaya! Ndo maana waswahili wanausemi kuwa KICHWA CHA KUKU HAKISTAHIMILI KILEMBA! Hamuwezi kuanzisha shule, sasa Mkapa kawapa bure chuo msome hamtaki, mnahamia NECTA! Kazi kwelikweli ! Mafisadi ni itikadi ya kisiasa, haina uhusiano na dini!
 
Unadhani basi wanahoja hao mfumokristo? Watakuja na ooh sultan oh waarabu,hawana hoja za msingi na akili wameshikiwa na mashoga wa marekani na uingereza.
Hivi habari ya kudai muungano na ukristo vinahusiana vipi? Zanzibar inatawaliwa na Mwislamu, na mawaziri wake waandamizi wote ni waislamu, Tanganyika inatawaliwa na Mwislamu, makamu wake mwislamu, na waziri wa muungano mwislamu. Sasa Mkristo ameingiaje kwenye hizi habari za muungano uislamu wenu? Na anahusika vipi na matatizo ya waislamu na wazanzibari? Uwe unajaribu kutumia hata damu kufikiria kama ikitokea ubongo wako umeshindwa kabisa. Maana hapa hata tungempa panzi kutafakari jambo hili angalifanya kwa maarifa mengi zaidi kuliko wewe.
 
Hivi habari ya kudai muungano na ukristo vinahusiana vipi? Zanzibar inatawaliwa na Mwislamu, na mawaziri wake waandamizi wote ni waislamu, Tanganyika inatawaliwa na Mwislamu, makamu wake mwislamu, na waziri wa muungano mwislamu. Sasa Mkristo ameingiaje kwenye hizi habari za muungano uislamu wenu? Na anahusika vipi na matatizo ya waislamu na wazanzibari? Uwe unajaribu kutumia hata damu kufikiria kama ikitokea ubongo wako umeshindwa kabisa. Maana hapa hata tungempa panzi kutafakari jambo hili angalifanya kwa maarifa mengi zaidi kuliko wewe.

Watu DHAIFU wa fikra wanajua kutoa dismissive claims. Ukristo na Muungano wapi na wapi? Ni bahati mbaya sana baadhi ya waislamu wako obsessed na wakristo. Wanaamini kila tatizo lao linasababishwa na wakristo. Mambo ya kitaifa wao wanalazimisha kucheza kete za udini. Ndio maana walihamaki kusikia wakristo ni 52% ya Watanzania (Tanganyika + Zanzibar).
 
Wako sawa kabisa..

Wale watanganyika wanaotumiwa na kanisa, njooni na hoja zenu mfu..

jamaa wako wazi na wako clear..

hivi hilo kanisa ni lipi linalolalamikiwa kila kukicha? Mbna mnakuwa na akili finyu ya kugeneralize mambo
 
Hapo hoja ni udini! Hakuna kingine! Iwapo hoja ni muungano, kazi ni ndogo: Wana rais wao, wamuulize: "kwa nini unang'anga'nia muungano!!!" Asipowajibu basi waichome moto ikulu yao tuone! Kelele za nini!!?
 
Wako sawa kabisa..

Wale watanganyika wanaotumiwa na kanisa, njooni na hoja zenu mfu..

jamaa wako wazi na wako clear..

Tuacheni na chogo zetu. Mkishaondoka hamtafika popote. Mtatwangana tu na kubakana kama Homs na Dafur. Sehemu ya ubongo wa kufikiri iliathirika pale mlipo saga visogo vyenu uchangani.
 
Unadhani basi wanahoja hao mfumokristo? Watakuja na ooh sultan oh waarabu,hawana hoja za msingi na akili wameshikiwa na mashoga wa marekani na uingereza.
quote_icon.png
By Topical

Wako sawa kabisa..

Wale watanganyika wanaotumiwa na kanisa, njooni na hoja zenu mfu..

jamaa wako wazi na wako clear..

Nina mashaka wazazi wenu walifanya kazi ya kufagia kanisani kwa miaka na miaka halafu kwa sababu nisizozijua, hawakulipwa ujira wao. Na hii ndio sababu hata mkipata jipu leo basi shutuma ni kwa kanisa. Chuki ni dalili ya udhaifu na kushindwa kukabili mambo.

Hapa umezungumziwa Muungano ambao si sehemu ya UKRISTO wala kanisa, lkn low minds tayari wamesharukia kanisani kujaribu kushusha lawama ya kukosa kwao elimu na ufahamu.

Labda mniambie kwa ufahamu wenu, Rais wa Zanzibar na Makamu wake wawili na Rais wa Jamhuri na makamu wake mmoja (na wake zake wawili) = hawa watu wanasali kanisa gani kati ya Anglican na RC?

Labda mtasema wao ni vilaza, haya basi Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar na wa Jamhuri nao wanasali wapi kati ya Baptist Mission na Lutheran?

Huyu bonivilwa inaonesha ameharibika kwa kupenda kukaa na dada zake muda mwingi. Kushinda jikoni ndio madhara yake sasa mtoto wa kiume unabana pua kuongea mipasho. Na ngoja waje hao waarabu, michezo yao si tunaijua, sisi yetu macho na kuwajengea clinic za kujifungulia watoto machotara mnaowataka
 
Hivi znz ikijitenga kipi cha msingi Tanganyika itapata hasara? kwanini kulaqzimisha kitu?
 
Hapo hoja ni udini! Hakuna kingine! Iwapo hoja ni muungano, kazi ni ndogo: Wana rais wao, wamuulize: "kwa nini unang'anga'nia muungano!!!" Asipowajibu basi waichome moto ikulu yao tuone! Kelele za nini!!?

Hoja sio udini bali ni chuki kubwa dhidhi ya wabara. Ingekuwa udini, wasingeita waislamu wa bara chogo. Wanadanganywa na wao sababu ni majuha hawalioni hili kwa sasa.
Jussa wao hana tofauti na Bashir wa Sudan.
Bashir aliwarubuni waislamu weusi wa Dafur kuungana na warabu kuwapiga makafir wa kusini.
Vita ilivyoisha na kuundwa kwa serikali ya mseto ya kusini na north, Bashir hakuweka mtu hata mmoja toka Dafur kwenye govt ya north ya kiislamu. Ndipo Dafur wakajua walidanganywa. Walipojaribu kuleta chokochoko, Bashir akaachia Janjaweed kuwashikisha adabu hao waislamu weusi wa Dafur.
Hali ya sasa ni mbaya sana. Waislamu safi wa Dafur wanaishi kama wakimbizi kwenye ardhi yao. Wanaume hawadiriki kutoka nje ya kambi kutafuta chakula, wanauliwa. Wanawake ndio wanatoka kutafuta kuni, wanabakwa na baibui zao masikini. Wale wenye mimba wanauliwa sababu wamebeba mtoto mbaya wa adui.

Ndio maana Bashir anatafutwa na kina Ocampo. Si kwa kutesa na kuuwa makafir, bali kwa mashitaka dhidhi ya matendo anayowafanyia waislamu wa Dafur.

Na Dafur nao wanajuta sana, wangeshirikiana na wenzao wa kusini, yasingewakuta.

Kwa hiyo hii ya UAMSHO wanatumia dini tu bali wana agenda za kimaslahi
 
Hivi znz ikijitenga kipi cha msingi Tanganyika itapata hasara? kwanini kulaqzimisha kitu?

Hakuna anayewalazimisha kama ambavyo hakuna anayedai kujitenga. Hawa wana yao tu. Ingekuwa suala ni Muungano sidhani kama kuchoma kanisa lilikuwa jambo sahihi
 
Hoja sio udini bali ni chuki kubwa dhidhi ya wabara. Ingekuwa udini, wasingeita waislamu wa bara chogo. Wanadanganywa na wao sababu ni majuha hawalioni hili kwa sasa.
Jussa wao hana tofauti na Bashir wa Sudan.
Bashir aliwarubuni waislamu weusi wa Dafur kuungana na warabu kuwapiga makafir wa kusini.
Vita ilivyoisha na kuundwa kwa serikali ya mseto ya kusini na north, Bashir hakuweka mtu hata mmoja toka Dafur kwenye govt ya north ya kiislamu. Ndipo Dafur wakajua walidanganywa. Walipojaribu kuleta chokochoko, Bashir akaachia Janjaweed kuwashikisha adabu hao waislamu weusi wa Dafur.
Hali ya sasa ni mbaya sana. Waislamu safi wa Dafur wanaishi kama wakimbizi kwenye ardhi yao. Wanaume hawadiriki kutoka nje ya kambi kutafuta chakula, wanauliwa. Wanawake ndio wanatoka kutafuta kuni, wanabakwa na baibui zao masikini. Wale wenye mimba wanauliwa sababu wamebeba mtoto mbaya wa adui.

Ndio maana Bashir anatafutwa na kina Ocampo. Si kwa kutesa na kuuwa makafir, bali kwa mashitaka dhidhi ya matendo anayowafanyia waislamu wa Dafur.

Na Dafur nao wanajuta sana, wangeshirikiana na wenzao wa kusini, yasingewakuta.

Kwa hiyo hii ya UAMSHO wanatumia dini tu bali wana agenda za kimaslahi

Tatizo lako wewe unafikiri kila mtu ana akili, ngoja nikuambie kitu kwa herufi kubwa.

KILA UBONGO UPO NDANI YA KICHWA, LKN SI KWELI KWAMBA NDANI YA KILA KICHWA KUNA UBONGO.

Hayo uliyoyaandika hapo yataeleweka miongoni mwao baada ya miaka 15
 
Hivi nyinyi Watumbatu, eeeei! Sinawaita nyie mbona hamuitiki? Hivi uhuru mnamdai nani? Rais si mnaye, serikali si mnayo? Wawakilishi na mawaziri wote si mnao? Toeni tamko moja tu kuwa, muungano marufuku. Tangazeni kuwa hamumtambui rais wa jamhuri na wabunge wa jamhuri wapigeni pini wasije tena huku...baaasi!
 
Hakuna anayewalazimisha kama ambavyo hakuna anayedai kujitenga. Hawa wana yao tu. Ingekuwa suala ni Muungano sidhani kama kuchoma kanisa lilikuwa jambo sahihi

Uamsho hawakuchoma kanisa??? wewe wamechoma askari kutoka Tanganyika??

Uamsho wamewaambia polisi wawashike wote ambao wanafikiri wamechoma kimyaaaa..
 
Back
Top Bottom