KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nahamasika sana hasa pale napo muona Edward Lowassa pale ambapo amekuwa kinara wa shughuli za kanisa hasa katika ufunguzi,kuwapandisha maasikofu vyeo,ujenzi wa makanisa mgeni rasimi amekuwa EL,Swali langu je Edward Lowassa ana nafasi gani katika haya makanisa??kwasiku zakaribuni?Je kuna uhusiano kati ya siasa za makanisani na za nje ya kanisa je unaweza kuzileta kwenye siasa za kawaida??Je kama nihivyo ataweza kui shape image yake kwakutumia makanisa??kwanini kama lengo ni hilo asiende kwenye mikutano ya siasa nakujisafisha kwa wananchi au akafanya CCM tour nchi nzima nakuhubiri mazuri yake na nakukana yale yote waliyo msingizia?kwani ili aji nyoshee njia ya 2015 hana budi kufanya haya kwa wananchi!!Au CCM hawamruhusu kusema chochote kama siyo msemaji??Maana sioni yeye kuhangaika kwenye masinagogi!!