Kwa kampeni hizi za CCM,itakuwa ngumu sana ku conqure the summit hapa daraja mbili

mianzini

Member
Aug 30, 2012
50
3
Inanisikitisha kuona watu wanapanda jukwaani badala ya kunadi sera wanaishia kuongelea watu.nilikua sijawahi hudhuria kampeni za hawa mabwana but what i observe is total a concotions. Wanadai mgombea wa cdm si mwanaume kamili,mara anamiliki bastola.
Kweli hizi ni siasa muflisi kabisa,naomba kuishia hapo maana hawa wananitapisha
 
na wewe ndugu ulifata nini? unaona sasa wamekuchafua roho achana nao,umeongeza idadi ya watu kwenye mkutano wao bila kujua.
 
Back
Top Bottom