Inanisikitisha kuona watu wanapanda jukwaani badala ya kunadi sera wanaishia kuongelea watu.nilikua sijawahi hudhuria kampeni za hawa mabwana but what i observe is total a concotions. Wanadai mgombea wa cdm si mwanaume kamili,mara anamiliki bastola.
Kweli hizi ni siasa muflisi kabisa,naomba kuishia hapo maana hawa wananitapisha
Kweli hizi ni siasa muflisi kabisa,naomba kuishia hapo maana hawa wananitapisha