Mkuu hilo neno linahistoria ndefu!Ndugu wanaJF
mimi nimesikiliza mwanzo mpaka mwisho na nimeelewa maneno/matusi yote yaliyotajwa na mhe.lusinde isipokuwa hili neno KUDADADEKI . Kama kuna mtu mwenye tafsiri ya hili neno anisaidie........................
Hata mimi najiuliza alimshindaje Malecela?huyu jamaa ni wakuombewa tuuu!
na Huyu eeeti ndo alimtoa Malecela (Tingatinga)
jamaa amefanya kweli. audio na video ziko vizuri ila kwa sababu ya net bongo ziko slow its better kama utadownload. nenda kwenye google search for FREE YOUTUBE downloader. ukiipata install halafu ukifungua you tube unacopy URL na kuipeleka kwenye youtube downloader ili uihifadhi kwenye computer ili uziangalie taratibu.