BIG X
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 777
- 212
Ndugu wana JF,Natambua kuwa mtandao wa JF unatembelewa na watu wa aina mbalimbali wakiwemo watoto,wazee,vijana,kina Mama,Kina Baba n.k.Matusi aliyoyatamka Mh Lusinde kuyaandika hapa kwakweli ni aobu tupu. Kwa yeyote atakaye hitaji kusikiliza atembelee CCM Lusinde Matusi
Gonga hapa Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru - YouTube
Sijapata ona mbunge kilaza kama huyu. Kama sio bangi mi sijui......... loh!!!!
Haya bwana!
Gonga hapa Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru - YouTube
Sijapata ona mbunge kilaza kama huyu. Kama sio bangi mi sijui......... loh!!!!
Haya bwana!
Last edited by a moderator: