saliel
Member
- Apr 11, 2011
- 84
- 18
Bungeni leo asubuhi waziri akijibu swali la nyiongeza alilouliza Mh. Tundu lisu alisema kuwa co kweli kwamba japani wamefunga vinu vyao vya umeme vinavyoengeshwa kwa nguvu za nuclear...na pia ujerumani haina mpango wa kuvifunga vinu vyake vya umeme vya nuclear..
1 kwa taarifa za DW ujerumani inaompango wa kuvifunga vinu vyake vya Nuclear mpango ambao ulipitishwa na bunge la ujerumani hii ilitokana na ma2kio ya japani..ambapo asilimia kubwa ya wajerumani waliliunga mkono pendekezo hilo. Ila kwanza wanatafuta njia mbadala ya kupata umeme wa uhakika ambao hautakua na madhara.source DW swahili.
Kutokana na sababu hizo wataalmu wa maswala ya Nuclear wako kwenye utafiwa wa kuya2mia madini ya uranium kwa ajili ya zalishia mafuta ambayo yatakuwa na uwezo wa ku2mika kama source ya nishati. HIVYO BASI SOKO LA URANIUM LITAKUWA PALE PALE HATA VINU VIKIFUNGWA.
NA HILI NDILO JIBU AMBALO MH. WAZIRI ALITAKIWA KUMPATIA MBUNGE NA SI KEJELI KAMA ALIVYOLIJIBU LEO BUNGENI
CTAKI KUAMINI KUWA WAZIRI WE2 AMESHAKUWA MWANASIASA GHAFLA HIVI. NIHAYO 2 WAUNGWANA
1 kwa taarifa za DW ujerumani inaompango wa kuvifunga vinu vyake vya Nuclear mpango ambao ulipitishwa na bunge la ujerumani hii ilitokana na ma2kio ya japani..ambapo asilimia kubwa ya wajerumani waliliunga mkono pendekezo hilo. Ila kwanza wanatafuta njia mbadala ya kupata umeme wa uhakika ambao hautakua na madhara.source DW swahili.
Kutokana na sababu hizo wataalmu wa maswala ya Nuclear wako kwenye utafiwa wa kuya2mia madini ya uranium kwa ajili ya zalishia mafuta ambayo yatakuwa na uwezo wa ku2mika kama source ya nishati. HIVYO BASI SOKO LA URANIUM LITAKUWA PALE PALE HATA VINU VIKIFUNGWA.
NA HILI NDILO JIBU AMBALO MH. WAZIRI ALITAKIWA KUMPATIA MBUNGE NA SI KEJELI KAMA ALIVYOLIJIBU LEO BUNGENI
CTAKI KUAMINI KUWA WAZIRI WE2 AMESHAKUWA MWANASIASA GHAFLA HIVI. NIHAYO 2 WAUNGWANA