kuku dume
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 414
- 62
Kikwete alihamua kuwapooza Wanaruvuma kwa kumteua Bw. Emmanuel Nchimbi kuwa waziri.
Hii ilimfanya kujisingizia majukumu ya uwaziri na kututenga Wanaruvuma.
Ni mwezi wa pili tuliandamana kupinga mauaji ya raia wasiokuwa na hatia yaliyokuwa yakifanywa na watu wasioeleweka.
Bwana Nchimbi hakufuatilia kujua chanzo cha raia kuuawa na wala hakufika kuwapa pole wahanga wa vipigo vya polisi.
Miundombinu ni mbovu sana. Kwa mfano tazama picha ya Kituo kikuu cha mabasi mjini Songea.
Huduma za kijamii hazipo na kama zipo hazikidhi.
Wanasongea tumehamua kuiweka Chadema madarakani. Tunasubiri uchaguzi tumsapoti Bw. Edson Mpogolo. Tunaamini kwamba atatusaidia kujikwamua KIMAISHA.
Hii ilimfanya kujisingizia majukumu ya uwaziri na kututenga Wanaruvuma.
Ni mwezi wa pili tuliandamana kupinga mauaji ya raia wasiokuwa na hatia yaliyokuwa yakifanywa na watu wasioeleweka.
Bwana Nchimbi hakufuatilia kujua chanzo cha raia kuuawa na wala hakufika kuwapa pole wahanga wa vipigo vya polisi.
Miundombinu ni mbovu sana. Kwa mfano tazama picha ya Kituo kikuu cha mabasi mjini Songea.
Huduma za kijamii hazipo na kama zipo hazikidhi.
Wanasongea tumehamua kuiweka Chadema madarakani. Tunasubiri uchaguzi tumsapoti Bw. Edson Mpogolo. Tunaamini kwamba atatusaidia kujikwamua KIMAISHA.