bysange
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 4,456
- 1,563
Nina rafiki yangu ambye ana mchumba wake aliye ishi naye kwa zaidi ya miaka mitatu,akiwa anafahamika kwa wazazi wa msichana kwani ametoa posa na kujitambulisha pia.mwezi huu msichana huyo alifumaniwa usiku akiwa nyumbani kwa mwanaume mwingine,je nini kinaweza fanyika kwa misingi ya sheria?
tunaomba msaada wenu.
tunaomba msaada wenu.