Dk. Slaa alidondosha machozi mbele ya hadhara alipokuwa akizungumzia madhila yanayowapata wafugaji kwa kugeuzwa chanzo cha fedha na baadhi ya askari wasiokuwa waaminifu.
Kiongozi huyo alifikia hatua hiyo baada ya kuanza kueleza namna mmoja wa viongozi wa wafugaji wilayani Kilosa alivyomfuata na kumweleza kuwa askari wa Jeshi la Polisi, mgambo na viongozi wa serikali za vijiji wanavyowanyanyasa na kuwadhalilisha wafugaji.
Nikiwa Kilosa mjini juzi, nilifuatwa na kiongozi wa wafugaji akaniambia baada ya kukamatwa, wake zao au mabinti zao hufanyiwa vitendo vya udhalilishaji mbele ya macho yao, lengo likiwa ni kuwafanya wawakomboe kwa haraka katika mateso hayo, hii inasikitisha kuona Tanzania imefikia hapa, alisema.
Huku akifuta machozi, Dk. Slaa alisema inasikitisha kuona watu waliopewa dhamana ya kuongoza ndio walio mstari wa mbele kuwanyanyasa na kuwatesa wananchi.
SOURCE: Tanzania Daima.
MY take;
hapo penye red panatisha, kama serikali haitajisafisha kwa kuwatafuta wahusika wa tuhuma hizi na kuwapeleka mahakamani naikijulikana ni kweli waliwadhalilisha wanawake basi hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yaobai itaaminika kuwa serikali ndio iliyowatuma kufanya hivyo. kwa hili wakae tarayari kwenda the hegi. kwani hata mmiliki wa mtanadao wa Wikileaks anashtakiwa kwa kosa la udhalilishaji wanawake.
Kiongozi huyo alifikia hatua hiyo baada ya kuanza kueleza namna mmoja wa viongozi wa wafugaji wilayani Kilosa alivyomfuata na kumweleza kuwa askari wa Jeshi la Polisi, mgambo na viongozi wa serikali za vijiji wanavyowanyanyasa na kuwadhalilisha wafugaji.
Nikiwa Kilosa mjini juzi, nilifuatwa na kiongozi wa wafugaji akaniambia baada ya kukamatwa, wake zao au mabinti zao hufanyiwa vitendo vya udhalilishaji mbele ya macho yao, lengo likiwa ni kuwafanya wawakomboe kwa haraka katika mateso hayo, hii inasikitisha kuona Tanzania imefikia hapa, alisema.
Huku akifuta machozi, Dk. Slaa alisema inasikitisha kuona watu waliopewa dhamana ya kuongoza ndio walio mstari wa mbele kuwanyanyasa na kuwatesa wananchi.
SOURCE: Tanzania Daima.
MY take;
hapo penye red panatisha, kama serikali haitajisafisha kwa kuwatafuta wahusika wa tuhuma hizi na kuwapeleka mahakamani naikijulikana ni kweli waliwadhalilisha wanawake basi hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yaobai itaaminika kuwa serikali ndio iliyowatuma kufanya hivyo. kwa hili wakae tarayari kwenda the hegi. kwani hata mmiliki wa mtanadao wa Wikileaks anashtakiwa kwa kosa la udhalilishaji wanawake.